John Heche atangaza rasmi kugombea jimbo la Tarime

John Heche atangaza rasmi kugombea jimbo la Tarime

Huyu jamaa hamna kitu kichwani,kwa tarime anakubalika na mdogo wake chacha kama mnabisha subilini muone 2015.

Kwanza ndie aliyemuhujumu mwikwabe uchaguzi ulipita kisa hakupita yeye kura za maoni,ametumia defence mechanism baada yakusoma alama za nyakati.

Fanyeni tafiti kwa watu wa tarime mtagundua wanamuhitaji mwikwabe.heche angetafuta kata tu aanze kuiandaa lasivyo atapata frastration sana kwani kula na lala yake anategemea chama kwakutumia mwamvuli wa bavicha, na mda wake unaisha mwakani.
 
atagombeaje ubunge 2015 wakati cdm kimebakiza miezi 10 kabla ya kukata roho

Makubwa! Are u serious? Na uzee wako wote huo? Au picha sio yako? Au uzee unakusumbua? Yaani hata huoni? Khaaaa, I doubt your brain, sorry for that.
 
Ama kweli nimeamini "muwikaji jogoo tu, akiwika bundi wanasema mchuro". Angekua Zitto Kabwe hapo watu wangemtungia hadi ngonjera za kumsema. Sasa kauli hii ia utofauti gani na ile ya Zitto?!
Ifike hatua tujifunze kuwa fair.

Tofauti ya kauli hii ya Heche na ya Zitto ni Kwamba;Zitto alisema anataka kugombea URAIS na Heche alisema anataka kugombea UBUNGE.
 
Tofauti ya kauli hii ya Heche na ya Zitto ni Kwamba;Zitto alisema anataka kugombea URAIS na Heche alisema anataka kugombea UBUNGE.

Kwa pamoja na sauti kubwa vyote ni MADARAKA. Ukisema ni ruhusa kuonyesha nia kugombea ubunge lakini ni marufuku kusema una nia ya kugombea Urais huo ni ubakaji wa Demokrasia na kumnyima mtu uhuru wa kuinspire!

Usitake kuniambia mmeamua Urais ugombewe na fulani tu! na marufuku mtu mwingine kuukodolea macho! Jibu lako ni very low mkuu Chadema maana ykae kama hujui ni Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo.

Hapo kwenye nyekundu hakuna maana kuwa kutangaza nia ya kugombea ubunge sawa ila kwa Urais ni mtu mmoja tu ndie anatakiwa agombee! huu ni utaahira wa demokrasia especial mtu mwenye wasta kama Lema kusema atamwachia Slaa halafu Dr atamwachia Lema 2015 kwanini asimwachie na hiyo 2015 au ndio ataenda kugombea kwenye kile kiti kilichowekewa mwiko mtu kukitaka?

Angalizo.

Kuna watu wameibuka juzi juzi tu na kujifanya wao ni chadema na wanakijua chama vizuri sana na kunibeza mimi personal kuwa mimi ni CCM. Kwa taarifa yenu mimi naijua Chadema vizuri kuliko nyie mlioingia kwa mkumbo kama nzige na mnavyojibu hoja kiwepesiwepesi mtaondoka kama nzige pia. Na kama kuna mtu anabisha mimi siijui cdm akamuulize Mzee Lusingu aliepata kugombea ubunge kwa cdm katika jimbo la Dodoma! halafu jiulize wakati huo wewe ulikuwa unaijua cdm?
 
Kumbe tuko wengi wenye nia hiyo, Mwaka huu kura za maoni zinahamia upande wa pili.
 
kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Zito alisemwa sana, akaonekana msaliti.
tutakuja kushuhudia ugomvi uleule wa makundi na kugombania nafasi kama ccm.
Siasa ni ileile, hakuna jipya.
 
Urais na ubunge ni vitu viwili tofauti kabisa

usitake kuhalalisha makosa, Zitto alitangaza nia na Heche amefanya hivyo hivyo kosa hapa ni kutangaza nia kabla ya muda wake! mashabiki wa CDM acheni double standards!
 
Eeewaaaaa!wapi molemo,wapi zitto fobias wote wa jf!kijana nae katoa ya moyoni mwake nahitaji kuwaona hapa mkimwita majina kama vile mamluki,katumwa,afukuzwe chama,anahujumu chama n.k .,leo ndio unafiki wa molemo na kundi lake utajulikana(zitto fobias)teh teh siasa bwana!

Kama ni kweli:

Duh ndiyo kilichompeleka huko? Alitumia fedha za kwake ama za chama? Muda ambao Bavicha inastahili kuimarishwa ndiyo watu wanaibuka kuangalia ubunge?

Zitto alipotangaza kugombea Urais kulikuwa na kampeni kule arumeru,ilikua imekaa ndivyo sivyo

Huyu anataka kugombea ubunge huku akijua wenzake wanaotaka kugombea jimbo hilo pia wako kwenye Ziara ambayo ni nyeti kabisa na katibu mkuu huko Morogoro.Je wenzake wakiacha ziara na wao wakaenda Tarime kutangaza nia itakuaje?Hii siyo hujuma dhidi ya M4C? Hii imekaa ndivyo sivyo.

Namshauri aimarishe BAVICHA kabla ya uchaguzi wa ndani ya chama mwakani.huwezi kugombea Ubunge 2015 na ukategemea kuwakomboa watanzania ambao asilimia kubwa ni vijana huku ukiiacha BAVICHA ikiwa haijasimama vizuri

BAVICHA ni chombo nyeti kabisa katika kusukuma harakati za mabadiliko.Tuimarishe BAVICHA kwa maslahi ya vijana wote kabla hatujajifikiria wenyewe na kuchochea mgawanyiko usio wa Lazima kwa muda huu
 
Utani aside: Hivi mgombea ubunge anavyoahidi kuwatoa watu kwenye umasikini anamaanisha nini? maneno ya namna hii yamemuweka katika wakati mgumu sana Mnyika, mpaka sasa Ubungo maji kitendawili barabara zote tope. Uchaguzi ukija atasema serikali haijatekeleza, sasa kwanini uhaidi kama unajua mtekelezaji siyo wewe? Unachotakiwa ni kuahidi kuibana na kuifuatilia serikali, lakini sio kwamba utatatua. Huo ni usanii mwingine wa wanasiasa!
ni hivi sera ya chadema ni kuibua uozo wa magamba na si ufadhili
 
The guy has made a great mistake, na litamgharimu. He could have been wise if he could have waited untill the right time. Ni mapema mno kuwaambia maadui zako mipango yako.
 
Ulimsikia Lema majuzi kwenye Star TV alisema anataka kumuachia Slaa, agombee ubunge Arusha halafu 2005 Slaa nae atamuachia Lema, halafu Slaa atagombea urais 2005 wanaachiana vijiti, hapo ndiyo hujue Chadema ina wenyewe hakuna chaguzi za kupitisha wagombea.

We kweli poyoyo!...yaani unarudisha miaka nyuma hadi 2005!...au unachanganya tenses?
 
hapa 2015 bado...hawa jamaa nakuambia watauana 2015 mie yangu macho..kila mtu anataka kugombea na maeneo ambayo wanadhani wanaweza kushinda yapo machache hapo ndipo utamu ulipo.....Mungu kisaidie hiki chama kisije kufa kwakuwa kinasaidia sana kuwaamsha wazee wa ccm...
 
hapa 2015 bado...hawa jamaa nakuambia watauana 2015 mie yangu macho..kila mtu anataka kugombea na maeneo ambayo wanadhani wanaweza kushinda yapo machache hapo ndipo utamu ulipo.....Mungu kisaidie hiki chama kisije kufa kwakuwa kinasaidia sana kuwaamsha wazee wa ccm...
Endelkukesha ukiomba......Hata Wassira anakesha kweli kweli
 
Ulimsikia Lema majuzi kwenye Star TV alisema anataka kumuachia Slaa, agombee ubunge Arusha halafu 2005 Slaa nae atamuachia Lema, halafu Slaa atagombea urais 2005 wanaachiana vijiti, hapo ndiyo hujue Chadema ina wenyewe hakuna chaguzi za kupitisha wagombea.

Red Hapa, We Miaka yako unahesabu kwenda nyuma au 2005 ndo mwaka gani? ndo miaka yenu CCM
 
Heche acha mbwembwe bwana,fanya kazi za bavicha tuone kwanza.bado hujatumika ipasavyo.usiwe mropokaji.
 
jimbo hili ni la yule aliyekuwa rais wa daruso mwita. Na wewe heche vp acha tamaa dogo. Mi namwamini mwita mwikwabe.


VIPOFU 2,
Toa Maoni unamwamini kwa lipi? Sisi tunayemjua Mwita pindi akiwa daruso ni siri yetu kwani alitumia hela ya daruso akajenga Nyumba kitunda na kuoa, mwambie akumbuke Rev squeare ya mwiso akitokea honeymoon aliambiwaje na wanachuo?
 
Mwongo. Hakuna habari kama hiyo.MODs hili sio jukwa la uongo arekebishwe
 
Hivi Kamanda Mwita Mwikwabe na yeye sini wa huko huko Tarime au nachanganya ma-file?Mmh!Yetu macho tu ,kumbe posho wengi tunazipenda aisee!!
Mwita Mwikabe is more matured than Heche, na ndiye anafaa, kumpa nafasi hiyo Heche watakuwa
wanafanya trial and error.
 
Back
Top Bottom