stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,958
- 23,255
Wewe sio mkimbiaji,ungekuwa mkimbiaji usinge comment hayo,unakimbia km 15,showoff hapo ni nini,unategemea kila unapokimbia kuna watu,kuna wakati mtu unaamka saa 11 alfajiri hakuna mtu barabarani show off hapo iko wapi...Kwani lazima mazoezi ya kukimbia yafanyike barabarani tu?
Mtu serious na mazoezi anahitaji nafasi kidogo tu hayo ya barabarani ni show off hakuna kingine.