ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,489
- 88,633
Huu ndio ukweli ila wale wafuasi wake Watapinga.
Idadi ya Watu wanaozaliwa China imepungua kuliko vifo.
Idadi ya Wazee inazidi kuongezeka
Ukuaji wa Uchumi wake Umepungua sana.
Shida ya Kisiasa za ndani zimenza,sera ya zero covid iliwaahinda Hadi watu wakaandamana dhidi ya Utawala.
Kampuni zake za nyumba zimeanza kupata shida na Baadhi mbioni kufilisika eg Garden
Gharama za Uwekezaji wa viwandani zimeanza kuongezeka.
Mwisho China imeanza Utapeli wa Mali na ukoloni mamboleoa Kwa Nchi za Kiafrika Kwa njia ya Mikopo nk.
My Take
China haiaminiki, siku yaja Yuan yake itaporomoka sana.
Idadi ya Watu wanaozaliwa China imepungua kuliko vifo.
Idadi ya Wazee inazidi kuongezeka
Ukuaji wa Uchumi wake Umepungua sana.
Shida ya Kisiasa za ndani zimenza,sera ya zero covid iliwaahinda Hadi watu wakaandamana dhidi ya Utawala.
Kampuni zake za nyumba zimeanza kupata shida na Baadhi mbioni kufilisika eg Garden
Gharama za Uwekezaji wa viwandani zimeanza kuongezeka.
Mwisho China imeanza Utapeli wa Mali na ukoloni mamboleoa Kwa Nchi za Kiafrika Kwa njia ya Mikopo nk.
My Take
China haiaminiki, siku yaja Yuan yake itaporomoka sana.