Joe Biden: China Iko Taabani Kiuchumi

Joe Biden: China Iko Taabani Kiuchumi

ila ule ujinga wao wa kupangiana idadi ya kuzaa ndio sijawahi kuuelewa hadi kesho. mtu hata kama una pesa za kutunza watoto ungetamani kuzaa watoto 12, wamekulimit.
 
Mifano ya white paper movement, colour revolution na white hair movement ni mifano hai jinsi wachina walivyochoshwa na CCP......

Sera zote za CCP zimegoma, imebaki moja ya one China policy hii ndio itaondoka na CCP

Sent using Jamii Forums mobile app
Zimegomaje wakati bado China muuzaji mkubwa wa bidhaa nje ya nchi na nchi yenye uchumi mkubwa duniani baada ya Marekani.
 
ila ule ujinga wao wa kupangiana idadi ya kuzaa ndio sijawahi kuuelewa hadi kesho. mtu hata kama una pesa za kutunza watoto ungetamani kuzaa watoto 12, wamekulimit.
Kuna baadhi ya majimbo yameondoa kikomo na kuruhusu uzazi.
 
Ile sera ya one child nayo ndo inawacost sasa,...
Sasahivi wanaelekea kwenye negative population growth....



Sent using Jamii Forums mobile app
wasingadhibiti sasaivi wangezidi 2 billion na wangekuwa wamesambaa dunia yote. ona sasaivi population wamezidiwa na India ambayo haina limit ya kuzaa watoto. the most populous country in the world sasaivi ni India, sio china tena. kuna siku wahindi watakuja kuwa majority kwenye kina nchi hapa duniani.
 
ila ule ujinga wao wa kupangiana idadi ya kuzaa ndio sijawahi kuuelewa hadi kesho. mtu hata kama una pesa za kutunza watoto ungetamani kuzaa watoto 12, wamekulimit.
Ile ilikuwa ni sera muhimu sana kwa kipindi kile, na hawakuiweka kwamba itadumu milele na kwanza sasa hivi haipo. Hawakukosea kwenye hilo.

Alafu China mnaiponda sana, taja superpower iliyowahi kua kiuchumi kwa kasi kuizidi hapa duniani zaidi ya China. Nchi nyingi kwa sasa zina shida za Uingereza wana shida kibao hasa kwenye mfumo wao wa afya, Ufaransa matatizo kibao ya jamii yake na wahamiaji na nishati, Japan ina deni kubwa na population yake imejaa wazee, Marekani naye shida zake.

China ana matatizo makubwa ila tusisahau kipindi hiki matatizo ni mengi kwa mataifa makubwa.
 
Dikteta Xi jinpin anawaponza sana watu wa China.

Anawapeleka shimoni kila siku mi nasemaga hapa.

Alileta sera yake ya "return forest to farmland" akihamasisha kilimo kwa kukata miti kila pahala hata mahali pasipofaa matokeo yake juzi beijin na maeneo mbalimbali yamepigwa na mafuriko yaliyotokana na tufani balaa, watu wameripotiwa Kufa cha ajabu CCP haionekani kujali chochote.

Sera za Dikteta Xi zote yaani zote zimegoma na zimekuwa zikiwagharimu watu wachina wasiokuwa na hatia.

Bado sera yake ya "One china" ambayo imelenga kuirudisha Taiwan chini ya utawala wa CCP. Hii sera ndio itaiua kabisa CCP.... yani akijichanganya tu kuivamia Taiwan na CCP ndo inakuwa imekufa. Yaan CCP na Jeshi lake la PLA watapigika kila upande ndani na nje ya China tupo hapa mtakuja kuniambia.

Kuna baadhi ya wachina ni kwa vile hawana silaha lakini ukiwapa silaha wako radhi kupambana na ÇCP na jeshi lake, jambo hili Xi Jinping bado hajalifikiria....

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti dikteta xi jinping....msifananishe kiongozi rijali wa China na hao mashoga wa west....usimfananishe xi na hao malaya wa kisiasa wauza bandari
 
ila ule ujinga wao wa kupangiana idadi ya kuzaa ndio sijawahi kuuelewa hadi kesho. mtu hata kama una pesa za kutunza watoto ungetamani kuzaa watoto 12, wamekulimit.
Watu walikuwa zaidi million 800 ulitaka waendelea kuzaliana hovyo hovyo kama Waafrika ili kuzidi kukaribisha umasikini na ujinga ?
 
wasingadhibiti sasaivi wangezidi 2 billion na wangekuwa wamesambaa dunia yote. ona sasaivi population wamezidiwa na India ambayo haina limit ya kuzaa watoto. the most populous country in the world sasaivi ni India, sio china tena. kuna siku wahindi watakuja kuwa majority kwenye kina nchi hapa duniani.
Population kubwa ni hasara kuliko faida
 
Hako kazee nako ni kajinga sana mbona hakaongelei nchi kanayo iongoza ambapo maelfu ya mabenki yamefirisika.
.
Screenshot_20230314-145603.jpg
 
Leta data sio porojo, uchumi ni data sio uropokaji wa majukwaani
img_1_1691759347158~2.jpg
 
Huu ndio ukweli ila wale wafuasi wake Watapinga.

Idadi ya Watu wanaozaliwa China imepungua kuliko vifo.

Idadi ya Wazee inazidi kuongezeka

Ukuaji wa Uchumi wake Umepungua sana.

Shida ya Kisiasa za ndani zimenza,sera ya zero covid iliwaahinda Hadi watu wakaandamana dhidi ya Utawala.

Kampuni zake za nyumba zimeanza kupata shida na Baadhi mbioni kufilisika eg Garden

Gharama za Uwekezaji wa viwandani zimeanza kuongezeka.

Mwisho China imeanza Utapeli wa Mali na ukoloni mamboleoa Kwa Nchi za Kiafrika Kwa njia ya Mikopo nk.


My Take
China haiaminiki ,siku yaja Yuan yake itaporomoka sana.

Nyie majinga ya CCM mna ongoza taifa masikini wa kutupwa duniani upo busy kuzungumzia changamoto za superpower.

Mmemaliza kujenga matundu ya vyoo nchi nzima kwa msaada wa EU ?
 
Nyie majinga ya CCM mna ongoza taifa masikini wa kutupwa duniani upo busy kuzungumzia changamoto za superpower.

Mmemaliza kujenga matundu ya vyoo nchi nzima kwa msaada wa EU ?
Wewe jinga huwezi toa Msaada Kwa jirani Yako Kwa sababu amekuzidi Mali na wewe ni fukara?
 
Dikteta Xi jinpin anawaponza sana watu wa China.

Anawapeleka shimoni kila siku mi nasemaga hapa.

Alileta sera yake ya "return forest to farmland" akihamasisha kilimo kwa kukata miti kila pahala hata mahali pasipofaa matokeo yake juzi beijin na maeneo mbalimbali yamepigwa na mafuriko yaliyotokana na tufani balaa, watu wameripotiwa Kufa cha ajabu CCP haionekani kujali chochote.

Sera za Dikteta Xi zote yaani zote zimegoma na zimekuwa zikiwagharimu watu wachina wasiokuwa na hatia.

Bado sera yake ya "One china" ambayo imelenga kuirudisha Taiwan chini ya utawala wa CCP. Hii sera ndio itaiua kabisa CCP.... yani akijichanganya tu kuivamia Taiwan na CCP ndo inakuwa imekufa. Yaan CCP na Jeshi lake la PLA watapigika kila upande ndani na nje ya China tupo hapa mtakuja kuniambia.

Kuna baadhi ya wachina ni kwa vile hawana silaha lakini ukiwapa silaha wako radhi kupambana na ÇCP na jeshi lake, jambo hili Xi Jinping bado hajalifikiria....

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umevuta bangi ?
 
Back
Top Bottom