zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Huyu hukumu yake ni kukatwa kichwa hadharani maana amekiri ni mzinzi wa hali ya juu. Sijui Ukristo hukumu ya zinaa ni nini? Au ni pongezi?
Kweli jamani hii ni haki? kiongozi wa Kitaifa kama huyu kukiri uzinifu huku anajisifu kama vile ni sifa nzuri.
Miafrika Ndivyo Ilivyo - NN.
Kweli jamani hii ni haki? kiongozi wa Kitaifa kama huyu kukiri uzinifu huku anajisifu kama vile ni sifa nzuri.
Miafrika Ndivyo Ilivyo - NN.