Job Ndugai: Sijui nina watoto wangapi!

GreenCity

JF-Expert Member
May 28, 2012
5,620
4,265
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi.

Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
 
Ndo maana kila mara amechoka choka Bungeni. Kama yeye si mlevi wa pombe au"sigara" huo ndio ulevi wake mpaka kusahau ana Watoto wangapi.

Lakini kwa kuwa nasikia fani yake ni Wanyama Pori na kweye ikolojia ya wanyama pori (competition), DUME Bora ni lile linaloweza kusambaza vinasaba (genes) vyake kwa wingi zaidi ya mwingine (yaani Watoto).

TAFAKARI (inaelekea Uasherati ni Sera ya MAGAMBA unamkumbuka Chemba huko Igunga na ? huko Singida?)
 
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!

Daah! na huyo ni kiongozi wa kitaifa, kweli bongo tunaziweza comedy!
 
Ndo maana kila mara amechoka choka Bungeni. Kama yeye si mlevi wa pombe au"sigara" huo ndio ulevi wake mpaka kusahau ana Watoto wangapi. Lakini kwa kuwa nasikia fani yake ni Wanyama Pori na kweye ikolojia ya wanyama pori (competition), DUME Bora ni lile linaloweza kusambaza vinasaba (genes) vyake kwa wingi zaidi ya mwingine (yaani Watoto). TAFAKARI (inaelekea Uasherati ni Sera ya MAGAMBA unamkumbuka Chemba huko Igunga na ? huko Singida?)

Msamehe Bure!

Amekiri ni mara yake ya kwanza kufanya interview na mwandishi wa habari. This is reduclous yaani amekuwa katika ofisi ya Bunge for seven years and failed to face the press.
This is a big shame kwa CCM . Agwe ameshindwa kusema kama ameoa na wala hajui ana watoto wangapi? This can only happen in Tanzania anajivunia kujaza ombaomba nyumbani kwake na kuwapikia chai kwenye sufuria kubwa. Job Ndugai unasoma hapa JF tupatie majibu.
 
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!

Kimsingi mke wake wa kwanza wa ujanani amemtelekeza huko Tabata ni Mchaga sijui amezaa nae matoto wangapi, ila sasa hivi kazuzuka na hawala yake mmoja ambae kamfanya mke wa pili anaitwa Dr Fatuma ni mpare , huyu mwanamke Mh. Ndugai amekufa ameoza kabisa , walikutana kongwa halafu mwanamke huyo akahamishiwa Dar, kongwa tena Ndugai pakawa hapakaliki kawatelekeza wapiga kura wake yeye na mwanamke wa kipare. Ndio maana mwaka 2015 tunataka tumpige teke, tunamweka mbunge kwa tiketi ya CHADEMA anaitwa Dr. Gidion John Kasilagila Bsc. Msc, phD raia wa Mtanana , habari ndiyo hiyo.

Mh. Mdee alimwonyesha kidole tusi kwa sababu ni shemeji yake, sasa dole la shemeji halina uchungu, sasa yeye kama amemind Mheshimiwa hana noma akitaka wazime taa kwani kuna nini?
 
Kimsingi mke wake wa kwanza wa ujanani amemtelekeza huko Tabata ni Mchaga sijui amezaa nae matoto wangapi, ila sasa hivi kazuzuka na hawala yake mmoja ambae kamfanya mke wa pili anaitwa Dr Fatuma ni mpare , huyu mwanamke Mh. Ndugai amekufa ameoza kabisa , walikutana kongwa halafu mwanamke huyo akahamishiwa Dar, kongwa tena Ndugai pakawa hapakaliki kawatelekeza wapiga kura wake yeye na mwanamke wa kipare. Ndio maana mwaka 2015 tunataka tumpige teke, tunamweka mbunge kwa tiketi ya CHADEMA anaitwa Dr. Gidion John Kasilagila Bsc. Msc, phD raia wa Mtanana , habari ndiyo hiyo.

Mh. Mdee alimwonyesha kidole tusi kwa sababu ni shemeji yake, sasa dole la shemeji halina uchungu, sasa yeye kama amemind Mheshimiwa hana noma akitaka wazime taa kwani kuna nini?

nimekosa botton ya "like"..ningekupa hata 200, anyway mie nilikuwa napita ila najua msg sent and delivered
 
Mngekuwa mna akili hata kidogo mngeelewa anachokwepa si suala la watoto au mke bali kuleta kwenye mjadala maisha yake binafsi. Kwa kukusaidia tu na yeye amefanya kama aloyafanya Slaa, yaan kamuacha mke wake anaishi na mwanamke mwingine. Anachoogopa ni kurudia kosa la Slaa pale jangwani.

Mkuu, I'm sorry to say, you are very wrong.
They are quite different in every way.
A great figure like him was supposed to be frank.
 
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
kajidhalilisha tu

MAADILI ZERO... lakini bado anasimama na kusimamia sheria ambazo nyingine zinatakiwa kulinda wanawake na watoto waliozaliwa na mababa donoa donoa namna hii
 
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!

Na watu kama Hao Wanajisifia kwenye TV na bado wanapewa Kura na Wananchi? Hiyo ni Sifa baba kuwa a rolling stone?

Kweli tuko Mbali kuendelea, na huyo Mtangazaji hakudiriki kuuliza Maswali ya kumbana na kumuaibisha? News Anchors

Wengi wana angalau a LLB hii inatuaibisha sisi Wanaume... SIO SIFA HATA KIDOGO
 

Na watu kama Hao Wanajisifia kwenye TV na bado wanapewa Kura na Wananchi? Hiyo ni Sifa baba kuwa a rolling stone?

Kweli tuko Mbali kuendelea, na huyo Mtangazaji hakudiriki kuuliza Maswali ya kumbana na kumuaibisha? News Anchors

Wengi wana angalau a LLB hii inatuaibisha sisi Wanaume... SIO SIFA HATA KIDOGO

Unachosema ni kweli kabisa na kuna wengine wataka kugombea urais.
 
Watu wanachekesha sana humu, huyu jamaa kumwacha mkewe na kuchukua kiji-nyambizi kingine amekuwa muasherati. Mhhhh, Tanzania ina mambo yake.

Sifikiri kama jamaa ameshindwa kutaja watoto wake, ila nafikiri hakutaka kuingiza mambo binafsi kwa media na siasa. Si ule upande wa pili hali ya namna hiyo, huwa hamsemi maadili bali mambo binafsi, inakuwa je leo mnauliza maadili?
 
Watu wanachekesha sana humu, huyu jamaa kumwacha mkewe na kuchukua kiji-nyambizi kingine amekuwa muasherati. Mhhhh, Tanzania ina mambo yake.

Sifikiri kama jamaa ameshindwa kutaja watoto wake, ila nafikiri hakutaka kuingiza mambo binafsi kwa media na siasa. Si ule upande wa pili hali ya namna hiyo, huwa hamsemi maadili bali mambo binafsi, inakuwa je leo mnauliza maadili?

Haya kama hapendi Mambo yake nje, sio kuchagua the worst case scenario ndio kuichagua kama jibu lake na yeye ndio

Msomi Naibu Speaker; Kama ni kichekesho angetumia suala lingine sio watoto, Sasa Ina Maana hakuwa serious great

na labda hayo mahojiano yote hakuwa serious as usual, kama kawaida yake ni UBABE hadi ndani BUNGENI ndio anacho

jua kwahiyo hapendi kuulizwa ajibu UKWELI kuhusu yeye sababu ni MBABE. Kwa wananchi wake akienda kuomba kura

hawaambii ukweli ni kuwadanganya na KUONYESHA UBABE kama vile dictator - kweli tutafika? Hawa ndio wanasiasa

wetu tunawaachia NCHI watuondoe kwenye UMASIKINI sio wakweli haujui wapi watasema UKWELI au LA; lini

hawataonyesha UBABE wao... SHAME ON RULING GOVERNMENT PARTY...
 
Back
Top Bottom