Mkuu, I'm sorry to say, you are very wrong.
They are quite different in every way.
A great figure like him was supposed to be frank.
the approach ya kusema tumepitapita sio sahihi... angesema tu nataka hilo liwe private, kupitapita manake kutomba-*****, which is not right kwa nafasi yake, hata kama ni jadi yakeWatu wanachekesha sana humu, huyu jamaa kumwacha mkewe na kuchukua kiji-nyambizi kingine amekuwa muasherati. Mhhhh, Tanzania ina mambo yake.
Sifikiri kama jamaa ameshindwa kutaja watoto wake, ila nafikiri hakutaka kuingiza mambo binafsi kwa media na siasa. Si ule upande wa pili hali ya namna hiyo, huwa hamsemi maadili bali mambo binafsi, inakuwa je leo mnauliza maadili?
Mngekuwa mna akili hata kidogo mngeelewa anachokwepa si suala la watoto au mke bali kuleta kwenye mjadala maisha yake binafsi. Kwa kukusaidia tu na yeye amefanya kama aloyafanya Slaa, yaan kamuacha mke wake anaishi na mwanamke mwingine. Anachoogopa ni kurudia kosa la Slaa pale jangwani.
Acha kutetea ujinga, yan unamsifia mtu kujibu swali kama mwehu! Kweli mtu ana sema sijui kama nina mtoto, alaf una muona shujaa! Si shangai wewe kumtetea maana hata wewe unaweza kusema ukumbuki kama ulisababisha mauaji!
huyu ndio kiongozi wa wawakilishi wa wananchi bungeni...kwa hiyo hata watoto wake au familia yake huwa haihudumiiiiiiiiiiiiiii....Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
Tusimcheke wala tusimlaumu, hiyo ndio hali halisi ya maisha yetu wanaume wa kitanzania anayebisha ujmue hajafikisha zaidi ya miaka 30 na kuwafahamu wanawake wa kitz!!!!! Kama unabisha anza kuangalia baba yako then rafiki zake then majirani then ndio umjaji ndugai, i mean toa kiboriti kilicho jichoni mwako kabla ya kumwonyesha jmwenzako!! Yangu ni hayo tu!!!
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
Ndo maana kila mara amechoka choka Bungeni. Kama yeye si mlevi wa pombe au"sigara" huo ndio ulevi wake mpaka kusahau ana Watoto wangapi. Lakini kwa kuwa nasikia fani yake ni Wanyama Pori na kweye ikolojia ya wanyama pori (competition), DUME Bora ni lile linaloweza kusambaza vinasaba (genes) vyake kwa wingi zaidi ya mwingine (yaani Watoto). TAFAKARI (inaelekea Uasherati ni Sera ya MAGAMBA unamkumbuka Chemba huko Igunga na ? huko Singida?)
Dr Slaa was frank enough to introduce a concubine at the rally, you know the rest of the story.
Ok kumbe mh. anafanya ngono zembe!... Jamani viongozi kumbukeni nyie ndio kioo kwa jamii mnayo iongozaKatika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
You know the end of the story with the so called "concubine". Now she is Mrs........finish it by yourself.
So for him (Dr. of course) it's worth to be frank.
Mngekuwa mna akili hata kidogo mngeelewa anachokwepa si suala la watoto au mke bali kuleta kwenye mjadala maisha yake binafsi. Kwa kukusaidia tu na yeye amefanya kama aloyafanya Slaa, yaan kamuacha mke wake anaishi na mwanamke mwingine. Anachoogopa ni kurudia kosa la Slaa pale jangwani.
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi. Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!