Pjmwakyusa
Member
- Jun 12, 2022
- 18
- 46
Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem
Amewaachia walamba asali mizinga ya nyukiSpeaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem
Hapo inaaminika hata ukiomba uraisi unapata ...Amewaachia walamba asali mizinga ya nyuki
Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.Hapo inaaminika hata ukiomba uraisi unapata ...
Baada ya kushiba nini unataka sasaAmewaachia walamba asali mizinga ya nyuki
atubu kwanza ya Lisu na Assad ndio itajibuKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Hata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.Atubie makosa yake aliyowatendea watza
Hawa watu wakipataga matatizo ndiyo hujifanya kujipeleka karibu na Mungu huku nyuma kizani wanatenda uovu wa kutisha.Kumbe Ndugai ni myahudi?
Wa galilaya 😄😄Kumbe Ndugai ni myahudi?
Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem
Jamaa mjanja. Kaenda kufuata baraka. Jamaa nimeanza kumkubali. Dhambi zake zote zimesamehewa. Nami natamani ningepata iyo fursa. Yani jamaa kabahatika kuwa kama myahudi. Kumbe inawezekana ukawa myahudi.Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem