kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
wakiongozwa na WEREMA TENA NYUMA YA NYUMBA YAKE AMEPANDA HAYA MAJANI
Hawa ndio wale ambao mapumziko ya mchana wanapiga kilaji pale Dodoma Hotel wakati wenzao wanautumia muda huo kujipanga kufanya research na mkakati wa session ya jioni. Matokeo yake ni kuchapa usingizi tuuHuyu sijui anatumia nini?
Mkuu hiki nikipindi cha siku nyingi tazama hii link hapa...https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nge-wa-bunge-la-jioni-hawako-sawa-walevi.htmlnaibu spika yuko startv kipindi cha medani za siasa na uchumi, anadai mdee alimtukana kwa kumuonyeshea kidole cha kati, pia anadai hajui idadi ya watoto alionao, anatembelea mitandao ukiwepo jf na blogs nyingi tu.
:nono:bunge litunge kanuni mpya wabunge wavae glovus ili kuzuia vidole
Nape anasema wabunge wanaingia bungeni wakiwa tayari washavuta bangi na kunywa viroba source itv