Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,312
- 24,171
"Ndugai: Kuna wanaotoa maoni wabunge wapimwe afya ya akili
Spika wa zamani wa Bunge, Job Ndugai amesema kumekuwa na maoni wabunge wapimwe afya ya akili kabla ya kwenda kuomba ridhaa ya kuwawakilisha wananchi bungeni akieleza kuwa jambo hilo ni la kuwaachia wananchi ili kuona kama lina umuhimu ama la.
Ndugai ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 katika hospitali ya Mirembe aliposhiriki maadhimisho ya siku ya afya ya akili duniani.
“Hata kule bungeni wakati fulani panatolewa wito kwamba wabunge wapimwe akili, waende Mirembe kwanza kabla ya kupata Clearence, tunapojaza fomu zile za kuomba ubunge tujaze fomu kisha tuje Mirembe tupimwe na katikati ya muhula tuje tena tupimwe, hili ni pamoja na madiwani na viongozi wengine wakuchaguliwa, sijui kama jambo hilo ni muhimu ama si muhimu lakini kuna wengine wanasisitizaga sana jambo hilo, lakini hilo ni la wananchi tuwaachie wananchi."
“Ni kuonyesha tu kwamba kama mtu ana tatizo aweze kupata tiba, nia sio kumbagua mtu, nia ni kuona kama tatizo lipo ili mtu aweze kupata huduma inayostahili kwasababu madhara ya afya ya akilli ni makubwa sana,” amesema Ndugai.
Ndugai ameeleza dawa za kulevya zimesababisha wagonjwa wengi wa afya ya akili wanaosababisha maovu mbalimbali kwenye jamii, pamoja na wanafunzi kuwa watoro shuleni huku akitoa wito kwa wanafunzi kujiepusha na matumizi ya dawa hizo.
Spika wa zamani wa Bunge, Job Ndugai"
----
Job Ndugai kaamka toka usingizi wa kisiasa.
Akiwa mgeni rasmi sherehe za afya ya akili kitaifa huko Mirembe, ametoa maoni kuwa wabunge wanaowawakilisha wananchi wapimwe afya ya akili.
Katika hili mimi Jidduzz namuunga mkono kabisa.
Awamu ya Tano CCM ilituletea kiongozi mwenye kuhisiwa kuwa na matatizo ya schizophrenia, aina ya ugonjwa wa akili.
Tuliyopitia wote tunayajua.
Spika wa zamani wa Bunge, Job Ndugai amesema kumekuwa na maoni wabunge wapimwe afya ya akili kabla ya kwenda kuomba ridhaa ya kuwawakilisha wananchi bungeni akieleza kuwa jambo hilo ni la kuwaachia wananchi ili kuona kama lina umuhimu ama la.
Ndugai ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 katika hospitali ya Mirembe aliposhiriki maadhimisho ya siku ya afya ya akili duniani.
“Hata kule bungeni wakati fulani panatolewa wito kwamba wabunge wapimwe akili, waende Mirembe kwanza kabla ya kupata Clearence, tunapojaza fomu zile za kuomba ubunge tujaze fomu kisha tuje Mirembe tupimwe na katikati ya muhula tuje tena tupimwe, hili ni pamoja na madiwani na viongozi wengine wakuchaguliwa, sijui kama jambo hilo ni muhimu ama si muhimu lakini kuna wengine wanasisitizaga sana jambo hilo, lakini hilo ni la wananchi tuwaachie wananchi."
“Ni kuonyesha tu kwamba kama mtu ana tatizo aweze kupata tiba, nia sio kumbagua mtu, nia ni kuona kama tatizo lipo ili mtu aweze kupata huduma inayostahili kwasababu madhara ya afya ya akilli ni makubwa sana,” amesema Ndugai.
Ndugai ameeleza dawa za kulevya zimesababisha wagonjwa wengi wa afya ya akili wanaosababisha maovu mbalimbali kwenye jamii, pamoja na wanafunzi kuwa watoro shuleni huku akitoa wito kwa wanafunzi kujiepusha na matumizi ya dawa hizo.
Spika wa zamani wa Bunge, Job Ndugai"
----
Job Ndugai kaamka toka usingizi wa kisiasa.
Akiwa mgeni rasmi sherehe za afya ya akili kitaifa huko Mirembe, ametoa maoni kuwa wabunge wanaowawakilisha wananchi wapimwe afya ya akili.
Katika hili mimi Jidduzz namuunga mkono kabisa.
Awamu ya Tano CCM ilituletea kiongozi mwenye kuhisiwa kuwa na matatizo ya schizophrenia, aina ya ugonjwa wa akili.
Tuliyopitia wote tunayajua.