Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Weweni kiazi mbatataWewe ni moja ya wajinga wanaofikiri tukio hili ni angauko la Ndugai na si angauko la bunge
Weweni kiazi mbatataWewe ni moja ya wajinga wanaofikiri tukio hili ni angauko la Ndugai na si angauko la bunge
Hata likipigwa bunge si Ni yaleyale? Kwani bunge lina umuhimu gani kwasasa?Pamoja na makosa na madhaifu yote ya Ndugai, ni upumbvu kushangilia kilichotokea.
Hapa aliepigwa siyo Ndugai bali limepigwa bunge!
Wajinga hawaelewi hili
Yeye si aliona raha kumtendea vile Prof.Assad? acha naye yamkute. Halafu kupigwa kwa bunge la CCM bado ni sawa tu. Bunge kibogoyo la kijani!Pamoja na makosa na madhaifu yote ya Ndugai, ni upumbvu kushangilia kilichotokea.
Hapa aliepigwa siyo Ndugai bali limepigwa bunge!
Wajinga hawaelewi hili
Utakuwa mjinga zaidi Kama hutatambua kuwa bunge limepigwa kwasababu halijaweza kujibeba bunge naona ni muhimili unaobebwa na muhimili wa rais ndiyo maana wanapigwa za macho wangejielewa wasingefika huku walikofika moja ya dhambi kuu ni kuruhudu bunge kuwa la chama kimoja na bado watapigwa mpaka wakome ukitaka jiue tu hakuna jinsiPamoja na makosa na madhaifu yote ya Ndugai, ni upumbvu kushangilia kilichotokea.
Hapa aliepigwa siyo Ndugai bali limepigwa bunge!
Wajinga hawaelewi hili
Bunge limepigwa tokea October 2020Pamoja na makosa na madhaifu yote ya Ndugai, ni upumbvu kushangilia kilichotokea.
Hapa aliepigwa siyo Ndugai bali limepigwa bunge!
Wajinga hawaelewi hili