johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,975
- 141,986
Hizo Ndio kumbukumbu za kipekee Kabisa Katika historia ya Bunge letu na kwingineko duniani alizotuachia Spika mstaafu mh Ndugai
Kiufupi mzee Ndugai ndiye aliyeuwa Demokrasia ya vyama vingi na aliwakumbatia mafisadi kwa kumdhibiti CAG Prof Assad
Alichofanikiwa mzee Job ni kuwaachia Wabunge Urithi wa Vishikwambi
Jumaa kareem!
Kiufupi mzee Ndugai ndiye aliyeuwa Demokrasia ya vyama vingi na aliwakumbatia mafisadi kwa kumdhibiti CAG Prof Assad
Alichofanikiwa mzee Job ni kuwaachia Wabunge Urithi wa Vishikwambi
Jumaa kareem!