JKT watangaza nafasi za kujitolea

JKT watangaza nafasi za kujitolea

aiseee babayangu huko jkt sifa ni kutoboa mkataba unapiga fatiki miaka miwili pamoja na kulima kwa miaka miwil ndio unaza kufikiriwa kuajiria na kama ndio mwenzangu na mimi darasa la 7 unaongezewa miez 6 bila posho

Acha uwongo mkuu.sasa Hivi JW wanajiri ki Op kwa hyo ukiona ndugu yako karudi ujue anamatatizo ya kiafya .na kuhusu kutoboa vijana wengi wakifika Jkt wanachagua ajira .
 
Acha uwongo mkuu.sasa Hivi JW wanajiri ki Op kwa hyo ukiona ndugu yako karudi ujue anamatatizo ya kiafya .na kuhusu kutoboa vijana wengi wakifika Jkt wanachagua ajira .

aiseee babayangu kijanawangu nimempeleka tokea mwaka 2013 mpaka leo hakuna ki2 anadai ni op 50 ya jkt anadai tokea amefika jkt huko kigoma ukitoa police na jw hakuna waliokuja kuwafanyia usahili ili hali kambi za dar wamefanyiwa usahili wa usalama,magereza,police,zimamoto sababu watoto wa wakubwa wanapatikana huko
 
aiseee babayangu kijanawangu nimempeleka tokea mwaka 2013 mpaka leo hakuna ki2 anadai ni op 50 ya jkt anadai tokea amefika jkt huko kigoma ukitoa police na jw hakuna waliokuja kuwafanyia usahili ili hali kambi za dar wamefanyiwa usahili wa usalama,magereza,police,zimamoto sababu watoto wa wakubwa wanapatikana huko

Mkuu police wamechukua vijana kwenye kambi zote za Jkt tena NI Op sensa na miaka 50 ya Jkt ila magereza wamechukua op maika 50 ya muungano.tatizo linakuja pale kijana akifanya usaili wa JW basi hafanyi(anachagua) usaili hadi majibu yatakapotoka ya JW.Sasa akili ikija ndipo mkataba nao unakaribia kuisha hapo matatizo ndipo yanapoanza
 
Mkuu police wamechukua vijana kwenye kambi zote za Jkt tena NI Op sensa na miaka 50 ya Jkt ila magereza wamechukua op maika 50 ya muungano.tatizo linakuja pale kijana akifanya usaili wa JW basi hafanyi(anachagua) usaili hadi majibu yatakapotoka ya JW.Sasa akili ikija ndipo mkataba nao unakaribia kuisha hapo matatizo ndipo yanapoanza

Hilo ndo tatizo, vijana wapo selective huku wakijua hawana taaluma au kitu cha ziada. Wenye kujiongeza wamezama police hawakuvunga kuchagua
 
jamii ikielimika ndio maendeleo ya kweli yanaweza kupatikana, kwa system tuliyokwisha ijenga ni vigumu mtu mmoja kubadili jambo bali jamii nzima iwe na mtizamo tofauti na lengo hapa ni kuieleza jamii tunaweza kufanya nini ili jamii iwe na mtizamo mpya.

Mkuu ego umeweka comment zako vizuri sana, nimefatilia toka post yako ya kwnza na hii nime quote! Una sera nzuri za kuweza kubadilisha hii taasisi na kuifanya iwe productive katika kujenga nchi na uchumi na sio kukomaa tu na uzalendo!

Impact ya mafunzo kubase kwenye operations zaid za kijeshi sio wakati wake huu ukizingatia hakuna uhakika wa kuwapatia ajira wahitumu wote! Wange base kuwajenga kwenye skills za maisha na uchumi kwa njia ya ueledi na si kilimoo kama. Adhabu au kupima nguvu zao kulima kama trekta! Walime kwa utaratibu na kuwekewa mashamba darasa ndio tutapata mapinduzi sahihi ya kijana!

Tatizo hapa ndugu yangu ego utapoteza nguvu nyingi kuweka sera zako hapa, but who care? Fata chanel sahihi peleka huu muongozo wako utafanyiwa kazi hapa mitandaoni watu wanajivika rank tuu na kuongea yalio juu/nje ya mipaka yao.


Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Mkuu nimepewa data na mdogo wangu ambaye amepitia jkt last year (form 6) kanipa dondoo chache kuhusiana na salaries za hawa watu wa majeshi..

Kuna hawa wanajeshi ambao hawana vyeo kabisa (wenyewe wanajiita 'private' according to mdogo wangu) kwamba wao wanakula zaidi ya Tshs laki 8 take home na promotions kibao!
Halafu hawa wenye nyota, kwa kila nyota thamani yake ni 1 mil.
(Aliniambia sometimes walikuwa wakioneshwa salary digits..)
Mkuu unasemaje kuhusu hizo data?
zinaweza kuwa za kweli?

I Smell lies... kila nyota ina dhamani ya mil. 1? tusidanganyane hapa ndio kusema kwamba salary ya captein ni mil.3? na general mil. 10? "perceived lies" hata hivyo hizo nafasi ni za jkt mpaka uifikie hiyo nyota 1 kuna michujo kibao, mchujo wa kwanza ni wakutoka huko JKT kuja JWTZ ukishafika huku utakaa mpaka nafasi za kwenda huko TMA-Monduli zitoke ndipo uandike maombi ukikubaliwa ndio uende, huko pia hakuna guarantee ya ku_graduate wenzako wanazikwa kimya na kimya ndugu..
 
Nimependa sana hawa jamaa ambavyo wamewafikiria na graduates, mkuu mimi nina ka shahada kangu ka Elimu, na hua napenda sana kuingia huko. Vipi kuna uhitaji kweli wa watu wa kada yangu.? Maana ninachohofu ni kwenda huko na kumaliza miaka hiyo miwili ya mkataba bila kuajiriwa, kuhusu afya niko fit sana tu.

Nenda mkuuu, huko hata ukiwa na ujuzi wa kuchomelea huachwi
 
Duu tena kaka una elimu nzuri sana ukibaatika KUAJIRIWA ukitoka tu na nyota
 
Naombakuuliza jamani!
Hivi hayo Mafunzo ya JKT ni ya muda gani kulingana na taratibu zao?


Naona kwako ndio kumekucha,haya sasa hebu nenda ukanawe hayo matongotongo .
 
Tatizo vijana wakfka jkt wao mawazo yao huwa ni kuajiriwa jwtz tu,wakija magereza,police au usalama kufanya mchujo wengi wao hawajitokezh.
 
Bado niko njiapanda sijui ni nani mkweli na nani si mkwelo, mwingine anasema ukiwa na elimu kianzia stashahada lazima uajiliwe, mwingine anasema kule stashahada na shahada zipo nyingi na ajira ngumu! Hizo zote ni kauli za waliopitia huko.
 
Bado niko njiapanda sijui ni nani mkweli na nani si mkwelo, mwingine anasema ukiwa na elimu kianzia stashahada lazima uajiliwe, mwingine anasema kule stashahada na shahada zipo nyingi na ajira ngumu! Hizo zote ni kauli za waliopitia huko.

Kila mtu anamawazo yake mkuu, cha muhimu changanya na za kwako.
 
aiseee babayangu huko jkt sifa ni kutoboa mkataba unapiga fatiki miaka miwili pamoja na kulima kwa miaka miwil ndio unaza kufikiriwa kuajiria na kama ndio mwenzangu na mimi darasa la 7 unaongezewa miez 6 bila posho

kama hujui bora unyamaze usipotoshe watu
 
Lakini kama utapata weka nia kwamba uko tayari kukabiliana na shuruba zozote za huko jeshi maana kule ukiondoa menyu hakuna bata za huku kitaa kwa kipindi chote cha mafunzo miezi sita ...mi nilikua kigoma huko jkt mtabila

hahaaa! mweleZeeee ya ac na kabasazi huyo
 
kweli wanalipwa vizuri lakini sio kama alivyosema do go wako coz kama ingekua hivyo mbona wanajeshi wangeringa sana kwa hao private labda uwe na professional ambayo useful jeshini otherwise utakuwa wa kawaida tu

ulichoambia na DOGO ni sahihi kabugi kwenye hizo nyota tu kijana baka tamu asikwambie MTU ila sifa uvumilivu
 
aiseee babayangu kijanawangu nimempeleka tokea mwaka 2013 mpaka leo hakuna ki2 anadai ni op 50 ya jkt anadai tokea amefika jkt huko kigoma ukitoa police na jw hakuna waliokuja kuwafanyia usahili ili hali kambi za dar wamefanyiwa usahili wa usalama,magereza,police,zimamoto sababu watoto wa wakubwa wanapatikana huko

muulize kijana wako hivi simu ya usaili WA magereza alikimbilia wapi?AC kwa mtabila,ziwani kwa bulombora ama,mtoni nduta kwa kanembwa.magereza wamekuja hadi wanabembeleza vijana hawataki jufanya usaili asikudanganye huyo kijana wakona usaili ulihusu op zote mbili miaka hamsini ya jkt na miaka hamsini ya muungani
 
Back
Top Bottom