JKT watangaza nafasi za kujitolea

JKT watangaza nafasi za kujitolea

Hii thread ilikuwa nzuri sana, Any updates wakuu kuhusu Intake ijayo.
 
Mm napenda hayo mafunzo tu, na wala cna shida ya ajira yao! nitajiajiri mwenyewe! Vp vigezo vya umri kwa anaye jua atujuze na hiyo training ni mda gani? Asanteni!

Nyinyi wenye miaka 37 hamruhusiwi kwenda
 
Back
Top Bottom