JKT watangaza nafasi za kujitolea

JKT watangaza nafasi za kujitolea

Mkuu hii ni nafasi njema sana ya ajira. hapa ukivunga tu unaweza ukashangaa ukakaa home kwa miaka si chini ya mi5! teh..

Nikipata nafasi mi nasepa bila kujiuliza mara mbili mbili.

Yah mkuu Excel, cha muhimu uvumilivu tuu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna uhitaji wa interlectuals sana jeshin ma Officer wapo wachache sana kipind cha nyuma walikiw wanachukulia pale makao makuu
Kuna uwezekano wa profesional kumaliza kozi na akasota zaidi ya mwaka bila kuajiriwa?
 
Mkuu nimekuelewa kote kote ulikoongea.

Watu wameshaanza kupiga madili hapa mjini.

Jana usiku nimeongea na jamaa yangu mmoja hivi, mambo aliyoiambia yani hata sijaamini...

All in all bongo kuna tatizo kubwa sana la ajira...

Kweli mkuu tatizo lipo kubwa tuu. Yapi hayo yanayotokea ili tukabiliane nayo yanapotukuta?
 
Yah mkuu Excel, cha muhimu uvumilivu tuu.
Mkuu nimepewa data na mdogo wangu ambaye amepitia jkt last year (form 6) kanipa dondoo chache kuhusiana na salaries za hawa watu wa majeshi..

Kuna hawa wanajeshi ambao hawana vyeo kabisa (wenyewe wanajiita 'private' according to mdogo wangu) kwamba wao wanakula zaidi ya Tshs laki 8 take home na promotions kibao!
Halafu hawa wenye nyota, kwa kila nyota thamani yake ni 1 mil.
(Aliniambia sometimes walikuwa wakioneshwa salary digits..)
Mkuu unasemaje kuhusu hizo data?
zinaweza kuwa za kweli?
 
Aisee, sijui niende, lakini nina ajira sasa.

Calculate risk zako, ukienda kufata ajira kule unaweza kimbia mafunzo maana basic course ya JKT na JWTZ inachalenge sana kimwil na kisaikolojia ukiwa na mind doubt unakimbia kozi. Kama wapend Jeshi njoo mkuu bt kama hupend usiende kufata ajira
 
Naombakuuliza jamani!
Hivi hayo Mafunzo ya JKT ni ya muda gani kulingana na taratibu zao?
 
Naombakuuliza jamani!
Hivi hayo Mafunzo ya JKT ni ya muda gani kulingana na taratibu zao?

Ni miaka 2 ila ndani ya hiyo miaka 2 huwa zinatokea fursa. Kwa iyo unaweza bahatika b4 hiyo miaka 2. Ova
 
Mkuu nimepewa data na mdogo wangu ambaye amepitia jkt last year (form 6) kanipa dondoo chache kuhusiana na salaries za hawa watu wa majeshi..

Kuna hawa wanajeshi ambao hawana vyeo kabisa (wenyewe wanajiita 'private' according to mdogo wangu) kwamba wao wanakula zaidi ya Tshs laki 8 take home na promotions kibao!
Halafu hawa wenye nyota, kwa kila nyota thamani yake ni 1 mil.
(Aliniambia sometimes walikuwa wakioneshwa salary digits..)
Mkuu unasemaje kuhusu hizo data?
zinaweza kuwa za kweli?

Yawezekana mkuu, ila cwez sema chochote 7bu cjawah ona salary scale zao. Mi nipo uraiani tuu.
 
Ucfanye pupa mkuu kaa fikiria. Ucendeshwe na mihemko na maneno matamu.
Nimesisitizwa kwenda huko toka nahitimu kidato cha sita, nimemaliza chuo bado nasisitizwa kwenda huko. Anko wangu ni meja wa jeshi, ananishauri kwa nguvu zote niende huko lakini mimi nimekuwa nikisita, kaniahidi vitu vingi kweli nikienda huko, lakini mimi nimekuwa nikisita kwenda huko. Ngoja nilifikirie tena hili sasa kwa kina.
 
Mkuu hii ni nafasi njema sana ya ajira. hapa ukivunga tu unaweza ukashangaa ukakaa home kwa miaka si chini ya mi5! teh..

Nikipata nafasi mi nasepa bila kujiuliza mara mbili mbili.

Lakini kama utapata weka nia kwamba uko tayari kukabiliana na shuruba zozote za huko jeshi maana kule ukiondoa menyu hakuna bata za huku kitaa kwa kipindi chote cha mafunzo miezi sita ...mi nilikua kigoma huko jkt mtabila
 
Calculate risk zako, ukienda kufata ajira kule unaweza kimbia mafunzo maana basic course ya JKT na JWTZ inachalenge sana kimwil na kisaikolojia ukiwa na mind doubt unakimbia kozi. Kama wapend Jeshi njoo mkuu bt kama hupend usiende kufata ajira
Inachukua miaka mingapi hadi kutulia kimaisha kabisa, yaani muda ambapo sasa unaweza kuanzisha familia baada ya kumaliza kozi zote za msingi?
 
Nimesisitizwa kwenda huko toka nahitimu kidato cha sita, nimemaliza chuo bado nasisitizwa kwenda huko. Anko wangu ni meja wa jeshi, ananishauri kwa nguvu zote niende huko lakini mimi nimekuwa nikisita, kaniahidi vitu vingi kweli nikienda huko, lakini mimi nimekuwa nikisita kwenda huko. Ngoja nilifikirie tena hili sasa kwa kina.

Kuna muda inabd ufuate matakwa ya moyo wako pia, ucje baadae ukasema yote haya kayataka mjomba. Japo hiyo ni fursa nzuri pia coz unajihakikishia kumaliza mafunzo na kupata ajira. All da best mkuu.
 
Inachukua miaka mingapi hadi kutulia kimaisha kabisa, yaani muda ambapo sasa unaweza kuanzisha familia baada ya kumaliza kozi zote za msingi?

Take maximum 4 yrs mkuu. Hapo ndo utakuwa umetulia.
 
Naomba kuuliza jamani!
Hivi hayo Mafunzo ya JKT ni ya muda gani kulingana na taratibu zao?
 
Inachukua miaka mingapi hadi kutulia kimaisha kabisa, yaani muda ambapo sasa unaweza kuanzisha familia baada ya kumaliza kozi zote za msingi?

Kipind hiki ukitimiz miaka 25 ukiwa umesha zama JWTZ unaruhusiwa kuwa na familia. Unaweza settle ukidhapia depo la jw kwa umri, kozi kozi zipo. Maana hata wenye familia huwa wanaacha family kwa muda na kupiga kozi then unarudi kama kawa kwa Mkeo

Kwa makadilio ni kama 2years
 
Back
Top Bottom