Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
- Thread starter
- #101
nilipomaliza chuo kikuu tu nikakimbilia uko niliyoyakuta ujinga mtupu nikatoroka zangu nipo zangu mtaani I run my own life niliowaacha mpaka sasa wapo kupiga muzinga tu wanasubilia uofisa sasa mpaka waupate huo uwafisa miye shakuwa mkurugenzi wa kampuni yangu na shatoa ajira kwa watu kibao na naimani tafanikiwa maana na yadai maisha haya naomba mungu aniongoze tu
Wewe ulitoroka, hukumaliza mafunzo ukaona ni nini kingefuata.