Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,174
- 26,912
Naombakuuliza jamani!
Hivi hayo Mafunzo ya JKT ni ya muda gani kulingana na taratibu zao?
Miezi sita halafu unapewa mkataba wa kaMa utachaguliwa kubaki kambini .....mkataba utachukua miaka miwili..sasa ndani ya hiyo miaka miwili ndipo halo unaweza chaguliwa kwenda kozi kwenye majeshi mpaka ajira....mkataba ukiisha na hukuchaguliwa kitaa kunakuhusu ndio hawa waliotaka kuandamana juzi hahahaha .....wazalendoooo!!!....afandeeeeee!