JKT hamfanyi mtu awe mzalendo

JKT hamfanyi mtu awe mzalendo

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,790
Reaction score
13,024
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
 
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
Sawa
 
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
Utakuwa mavi na maiti ukijitia uzalendo wakati unaona mijitu inaiba na familia zao
 
Uzalendo ni kama huu wa baadhi ya Watanganyika tukiongozwa na marehemu Mchungaji Christopher Mtikila na Tundu Lissu kuwa na mapenzi ya kutoka moyoni kwa Tanganyika, kuliko ilivyo kwa hii Tanzania iliyofungamana na Zanzibar (wazee wa muungano wa kinyonyaji wa changu changu, chako changu).
 
Lengo la JKT kwa akili za ujumaa zilikuwa ni Kwa ajili ya brainwashed kufanya watu kuwa watiifu kwa mamlaka for better or worse

Nyerere alikuwa muoga sana baada ya lile jaribio la mapinduzi mpaka kukipizwa ikulu, and the fact that it was feared so deeply.

Matokeo ya JKT ndio imezalisha hawa madness mbogamboga na wahuni mbalimbali wanaojichukulia sheria mkononi, either kwa kufuata maagizo kutoka juu or hiari ya MTU Binafsi.
 
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
Ninafurahi sana hawa Gen Z kwenda kufundishwa ujasiri.
 
Uzalendo ni kama huu wa baadhi ya Watanganyika tukiongozwa na marehemu Mchungaji Christopher Mtikila na Tundu Lissu kuwa na mapenzi ya kutoka moyoni kwa Tanganyika, kuliko ilivyo kwa hii Tanzania iliyofungamana na Zanzibar (wazee wa muungano wa kinyonyaji wa changu changu, chako changu).
Sure
 
Uzalendo ni hisia mtu anazaliwa nayo
Kupenda nchi yake
Yaani hata mtoto atajua ni Mtanzania na anaipenda TANZANIA tu
Naturally
Pia kuna mambo yanaweza kufanyika na uzalendo ukaongezeka.
 
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
Katika hili nakupinga mkuu,hakuna ujasiri wowote zaidi ya kushinda mnalima na kuvuna mahindi..

Mujibu wa sheria imerejeshwa tangu 2013 hesabu mpka mwaka jana ni miaka kumi na Mbili na hao vijana hatukuwaona wakionesha ujasiri wowote mwaka jana 29/10
 
Katika hili nakupinga mkuu,hakuna ujasiri wowote zaidi ya kushinda mnalima na kuvuna mahindi..

Mujibu wa sheria imerejeshwa tangu 2013 hesabu mpka mwaka jana ni miaka kumi na Mbili na hao vijana hatukuwaona wakionesha ujasiri wowote mwaka jana 29/10
Wengine hiyo tarehe 29 walikuwepo
 
Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri.

vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu.


'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya viongozi'
Na hasa ujasiri wa kuiba Mali ya umma Kama walivyo viongozi wote wa ccm

Wote Hawa walipita JKT
 
Back
Top Bottom