TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Iiiiiiyahh..hata drug kings nao ni watu wa watu. Fuatilia historia zao.jk mtu wa watu! ona anavomsikiliza kwa umakini huyo mama:becky:
Iiiiiiyahh..hata drug kings nao ni watu wa watu. Fuatilia historia zao.
Pablo Escobar....
Dudu.........
kampeni hadi kwenye kwaya
HAWEZI KUITWA JK HUYU NI JM.........jk ni mmoja tu yaani Julius Kambarage Nyerere na sio Jakaya Mrisho Kikwete
Iiiiiiyahh..hata drug kings nao ni watu wa watu. Fuatilia historia zao.
Mfa maji ....
View attachment 13356
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia na kumsikiliza msichana mlemavu Tabu Wanjala muda mfupi baada ya kuzundua mradi wa umeme na kuwahutubia wananchi katika kijiji cha Muriti, wilayani Ukerewe 02/07/2010.
Watu hupenda kuona wanachotaka kuona!mboni anamwangalia pembeni kama anamuonea kinyaa? si amguse walau mgongoni na mkono au aonyeshe sura ya huruma jameni!
kampeni hadi kwenye kwaya
JM aka Jakaya Mziray...............