nakubaliana na wewe jk ni rais bora nyuma ya mwl jk.
ni rais aliyethubutu kuwashitaki mahakamani waliowahi kuwa mawaziri na makatibu wakuu,
ni rais aliyetukanwa kila aina ya tusi na wapinzani na yeye akawatabasamia tu,
ni rais aliyebezwa sana na magazeti uchwara na wachambuzi uchwara,
ni rais aliyesemwa sana na mivituo vya tv kupitia vipindi vyao,
ni rais aliyejitahidi kuwavumilia watu wa kila lika kwa yote mabaya waliyomsema,
ni rais asiyependa kujenga uadui na mtu, nk, nk, nk,nk......!!!!!!!!!!!