JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

Inategemea na time na spatial domain unayotumia ku-define metrics zako. Kama unatumia domain ya mwaka 1985 kwa Tanzania, basi ni kweli; ila kama unatumia domain ya 2010 angalau kwa Afrika ya Mashariki tu, basi ni dhahiri kuwa watanzania tuna mawazo kama ya mbuni.
 
Bibie,'
Mgao wa umeme umekwisha?

Mgao wa Umeme ni Urithi wa Taifa: Mwl. Nyerere alimrithisha Mwl. Mwinyi nae Akamrithisha Mwanahabari Mkapa nae amemwachia Mjeshi Kikwete, Angalau ameongeza Majenereta pamja na Utapeli wa Richimondi na ubabaifu wa Tanesko nadhani na yeye atakabidhi kwa ajae.
 
Rais pekee aliyekwisha ongeza mitambo ya umeme amma iko tayari nchini amma iko kwenye mchakato wa kuundwa, kurasimiwa amma kufungwa kuliko mwingine yoyote wa kabla yake.

Nahisi kama MUNGU anatutenga vile, katuletea RAIS aliye jaza wapiga debe kila kona! uchumi ndio huo unaangamia lakini hawaoni
 
wewe ni moja ya watanzania wengi wanaohitaji msaada wa kujua hali mbovu iliyopo. Huyu rais hana uwezo wa kuongoza. Matokeo yake ni hali ngumu inayoonekana. Funguka
 
usinchekeshe!
Unazidisha kwa vile una pakuanzia! Wewe nadhani ni msomi.Kama ni msomi basi unajua ilivyorahisi kusoma mada ya mtu na kuikosoa au kuiongezea. Anza kuandika ndio utajua ilivyo ngumu.
Amepambana na rushwa kivipi?

Tausi, Tausi........Sio ukumbi wa Vijembe Huu jikite kwenye Mada Mama. kuanzisha au kutoanzisha Mada sidhani kama kama ni Kesi hapa JF labda Ianze Leo.
 
Kwanza serikali sio Mungu... kusema italeta mvua mgao uishe, na ile ya wanafunzi kupata Mimba ni viherehere vyao! Haijawahi kusemwa na rais yoyote ile Tanzania
Sio Tanzania tu Duniani
 
Umejitahidi kweli kuiorodhesha miradi hiyo yote lakini cha kusangaza yote ni madeni hayo. Hakun hata mradi mmoja unaofadhiliwa na serikali unayoisifia.
Kama unasifia Symbion basi sifia na Richmond bila kusahau IPTL, na jamii yake bila ya shaka wewe utakuwa unaijua sana.

Losambo, Losambo..... Serekali zote zaenda/zaendeshwa kwa Madeni Hata hao Wababe wa Dunia USA. Madeni kwa Serekali ni Jambo la Kawaida.
 
Nategemea uje na vigezo mbadala vinavyoendana na "Uislamu" na matakwa ya "Allah", na siyo dhana za "economic statistics" na "comparative statistics" zinazotakana na "intellectual traditions" za "Mfumo Kristo". Kwa kifupi, nategemea ungekuja na vigezo na dhana za "Mfumo Islam" kupima mafanikio na mapungufu ya Alhaji Rais wako "JK."


Dude, Dude.......Uko kwenye Mjadala Huu au Mwingine??
 
Mkuu umepoteza muda wako mwingi kujaza maji kwenye gunia tupu. Ushauri wa bure huu hapa- tafadhali kamwoone dr. Akupe dawa ya kurudisha kumbukumbu zako. Juzi tu hata mwezi haujaisha umeshasahau kwamba Lowassa alitangaza live kuwa richmond ilikuwa ni ya JK. Usipenda kudandia hoja kama hizi sinakuumbua mkuu!!!

Mkuu naomba kumbukumbu za Vyombo vya Habari Vilivyonukuu Tukio Hilo yaelekea nimepitwa Sana.
 
Kikwete ni rais bora kwa mafisadi kuliko yeyote aliyewahi kutawala Tanzania. Pia Kikwete ni rais bora kwa usanii kuliko yeyote aliyetangulia ukiachia mbali kuwa rais bora kwa vyangudoa, mafisadi, matapeli hata vilaza wenzake. Shame on you Kiwete!
 
Litania ya raisi kikwete!
Poleni kwa kuletewa misaada kutoka kwa wahisan
WiZi mtupu! Export ya nchi yetu nu nini? Import ni nini
Saca la cuenta tu mismo!
 
Nisingesaini huu mswada , lakni wenzangu watanielewaje?
Rais bora huyo? Mmmmmmmmh!
 
Ni Rais aliyepitia Misukosuko mingi
Ni Rais alikumbana na upinzani mkali
Ni rahisi aliyetoa uhuru wa kwa kila mtu asemalo
Ni Rais alietuletea misaada mingi kutoka kwa wahisani
Ni rahisi ambaye anaongoza katika kipindi kigumu
Ni Rais anayepambana na ufisadi Mf richmond,EPA,nk
Ni Rais anayepambana na wanaofuja mali ya umma
Ni Rais Msikivu na mpokea maoni ya wapinzani

Namtakia kila la heri na kazi yake

Hapo kwenye bold tupo pamoja,hasa point ya kwanza.Nina uhakika ingekuwa kipindi cha mzee Mkapa sasa hv mmiliki wa JF angekuwa segerea,keko au ukonga akipambana na wanyapara wasim-Cameron!!
 
Inawezekana kabisa kuwa rais kikwete ni bora kuliko wote kwa sababu zifuatazo uhuru mkubwa wa vyombo vya habari pia ni rais ambaye hajavibana vyama vingine vya siasa
 
Fikiria angekuwa Mwalimu Julius Nyerere, watu wampande mpaka Kichwani kama wanavyofanya kwa JK, angalau Mwinyi kidogo mngemchokonyoa angevumilia, lakini Mzee BM thubutu.
JK anaongoza nchi ikiwa na upinzani uliokomaa angalau kwa kiasi kikubwa kuliko pale mwanzo kwa sababu ya CDM kujaza wasomi wengi wanaojenga hoja kama Dr. Slaa, Zitto, Mnyika na wengineo, lakini yote hayo JK anaendelea kusimama imara. ama kweli JK ni kiongozi wa kuigwa, siku tukipata Rais asiyevumilia matusi kama JK tutakoma.

ukishakubali kuwa matonya,kila siku unafunga mkanda kwenye ndege,huyoo na bakuli lako Ulaya na Amerika,utalazimika uwe hivyo.Si ajabu,wala si ubora wa maana kwa Taifa.
 
Tatizo la wabongo ni hapa mtu akifanya jambo zuri lazima apewe sifa zake tatizo letu ukisifia mazuri ya CCM basi umekuwa mwanachama,Mimi si mwanachama wa chama chochote ila kikwete is the best Presdaaaaa Utake usitake.Nchi hii tunahistoria nayo ilipotoka siyo kama ilivyo,ni selikali gani iliyopita mawazili wanashtakiwa kwa kutumia madaraka vibaya?

Nina shaka sana na ubongo wako kwenye kufikili

Umeniacha hoi!Uko sahihi kabisa. Hakunaa serikali iliyopitia vituko na viroja kama hii hii unayoifagilia wewe.
Ushaona lini Tanzania Serikali ikawa na wabunge na mawaziri ikiwemo waziri mkuu wanashiriki wazi wazi kwenye wizi/ufisadi wa kutisha (Richmond) hadi kila mwananchi anawasema kama vile hawana hadhi yoyote?

Serikali ya Nyerere ilikuwa ni heshima kwa viongozi mtindo mmoja, ya Mwinyi nayo hivyo hivyo.Ya Mkapa ilikuwa nayo ina heshima yake hadi alipoondoka madaraka akaingia JK , ndipo tukadhani labda kuna mabadiliko yanakuja ya kusafisha uozo.Haya ya kuwafikisha mawaziri mahakamani ilitokana na juhudi za wapinzani zilizowesha kufunuliwa maovu mengi ya serikali. Haikuwa ni juhudi na utashi wa serikali kuwafukunyua hao viongozi na hatimaye kuwafikisha kwa pilato! Hivi nikikuuliza hayo mashtaka yamefikia wapi utanijibu nini?

Ningekubaliana nawe kama serikali ingeshtaki watu na kisha ikajiunda upya na kufanya kazi kumletea mwananchi unafuu wa maisha, kuleta heshima ya serikali tena kama huko nyuma, na kuweka nidhamu katika utendaji.
 
Sina cha kuchangia zaidi ya hizi picha !




PB250271.JPG


yona.JPG


2008 - mshtakiwa

attachment.php


2010 - mgombea ubunge !


Jakaya Mrisho Kikwete ! Duh !
 
Nadhani aliyeanzisha hii thread alipaswa kuandika "JK ni rais muongo kuliko wote Tanzania".
 
Kuzidisha Barabara
Kuzidisha Shule
Kuzidisha afya
Kuzidisha Uchumi
Kuzidisha Demokrasia
Kuzidisha Maji
Kuzidisha Kazi
Kuzidisha Viwanda
Utalii
Kupigana na Rushwa
Kwa haraka haraka hayo hapo juu kafanya kuliko Rais yoyote wa kabla yake.

mdomo mali yako wala hutozwi kodi...endelea kupayuka!
 
Back
Top Bottom