JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

Sioni haja ya kupinga wazo lako,kwani haki uliyonayo kikatiba ktk maoni inanifunga as hata wavivu wa kufikiri kama ww mmetambuliwa,Nyerere was and is still the BEST President.Ni matusi kumlinganisha na mkwezi n ni KOSA la jinai.


One of the worst president in the history of my loved country is nyerere

Ame over stay, ameharibu uchumi, udini na ubaguzi...
 
Ameanzisha chuo cha Dodoma.

Awamu ya Jk vyuo vingi vimeanzishwa.
 
2

[TD="width: 142"] New 100 MW Gas Based Power Plant at Ubungo, Dar es Salaam – New
[/TD]
[TD="width: 198"] Government of United Republic of Tanzania (GoT)
[/TD]
[TD="width: 180"] Ubungo, Ilala District - Dar es Salaam
[/TD]
[TD="width: 222"] To generate power using natural gas to increase generation capacity in the grid network, will be connected to the National Grid Control Center (GCC) at Ubungo, Dar es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 120"]
2011​
[/TD]

[TD="width: 44"]
3
[/TD]
[TD="width: 142"] New 60 MW Heavy Fuel Oil Based (HFO) Power Plant at Nyakato, Mwanza – New
[/TD]
[TD="width: 198"]
Government of United Republic of Tanzania (GoT)
[/TD]
[TD="width: 180"] Nyakato, Mwanza region
[/TD]
[TD="width: 222"] To generate 60 MW power using Heavy Fuel Oil (HFO) to increase generation capacity for in the grid network. This will also serve as base load in northern regions for load supply in the mining areas, will be connected to the National Grid Control at Nyakato substation, Mwanza.
[/TD]
[TD="width: 120"]
2011​
[/TD]


[TD="align: left"]
[/TD]
[TD="width: 152, align: left"] Kiwira Coal to Electricity Project – Phase I-200MW, Phase II-200MW; Fuel from the Kabulo ridge Coal Reserves - New

[/TD]
[TD="width: 132, align: left"]
Government of China
Financing Committed for Phase I of 200MW
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"]
Kyela, Rungwe and Mbeya Districts
The Mtwara – Mbamba Bay – Lake Tanganyika Development Corridor.
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] Kiwira Coal – to - Electricity power project involves expansion of the existing power facility, in Phase I & II up to 400MW, Construction of transmission line and the colliery redevelopment respectively, to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 400 MW.
[/TD]
[TD="width: 90, align: left"]
Phase I - 2011​
Phase II - 2014​
[/TD]


[TD="align: left"]
[/TD]
[TD="width: 152, align: left"] 100MW Independent Power Tanzania Limited (IPTL) Power Plant - Conversion
[/TD]
[TD="width: 132, align: left"] World Bank - IDA
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] Tegeta, Kinondoni District, Dar es Salaam
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] To convert 100 MW IPTL plant from using expensive Heavy Fuel Oil (HFO) to using cheap natural gas.
[/TD]
[TD="width: 90, align: left"]
2011​
[/TD]


[TD="align: left"]
[/TD]
[TD="width: 152, align: left"] Kinyerezi 240MW Gas Based Power Plant – New
[/TD]
[TD="width: 132, align: left"] African Development Bank (AfDB),
Tanzania Electric Supply Company Limited
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] Kinyerezi, Temeke District - Dar es Salaam
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] To generate power using natural gas to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 240 MW.
[/TD]
[TD="width: 90, align: left"]
2013​
[/TD]


[TD="align: left"]
1
[/TD]
[TD="width: 152, align: left"] Rumakali hydropower Plant - 222 MW (Expression of Interest - EoI)/ RFP
[/TD]
[TD="width: 132, align: left"] Word Bank
International Development Agency (IDA) Funds
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] Makete District, Iringa region
[/TD]
[TD="width: 198, align: left"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 222 MW.
[/TD]
[TD="width: 90, align: left"]
2018
[/TD]



[TD="width: 142"] Zambia – Tanzania (200 MW) interconnector ( Feasibility Study to be Revised )
[/TD]
[TD="width: 132"]
Multi-lateral Shared Scheme for SADC Countries
[/TD]
[TD="width: 162"] Interconnection to Southern African Power Pool (SAPP) to SADC region comprised of 12 countries. SAPP project include Zambia-Tanzania-Kenya interconnection, Malawi-Mozambique interconnection and DRC-Zambia interconnection.
[/TD]
[TD="width: 198"] To pool their electricity-supply resources for their mutual benefit and economic growth of its member countries. The main goals of the SAPP are coordination and cooperation in the planning and operation of the various systems to minimize costs while maintaining reliability, and the equitable sharing of the resulting benefits.
[/TD]
[TD="width: 78"]
2012​
[/TD]



[TD="width: 142"] Ruhudji hydropower Plant (358 MW) (Expression of Interest - EoI)/RFP
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Njombe District, Iringa region
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 358 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"]
2015​
[/TD]

[TD="width: 44"]
3
[/TD]
[TD="width: 142"] Mchuchuma Coal fired Power Plant Phase I - 200 MW:
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Ludewa District, Iringa region, Provide a 400 kV Mchuchuma- Mufindi Spur to the National Grid Extension
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Coal fuel to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 200 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"]
2018​
[/TD]

[TD="width: 44"]
4
[/TD]
[TD="width: 142"] Mchuchuma Coal fired Power Plant Phase II - 200 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Ludewa District, Iringa region, Provide a 400 kV Mchuchuma - Mufindi Spur to the National Grid Extension
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Coal fuel to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 200 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"]
2011​
[/TD]



[TD="width: 142"] Development of 62 MW of Hydro Power Plant From Rusumo Falls (33% for Tanzania)

[/TD]
[TD="width: 132"] To be funded by member countries under Central Economic Development Corridor
[/TD]
[TD="width: 162"] The Tunduma – Kigoma – Kyaka Development Corridor
[/TD]
[TD="width: 198"] Connect the Tanzania National Grid From Rusumo Hydro to Burundi and Rwanda
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

2

[TD="width: 142"] Development of Stigler's Gorge Power Project Phase I – 300MW
[/TD]
[TD="width: 132"]
Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Rufiji District, Pwani region -TAZARA Corridor
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 300 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 13
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Stigler's Gorge Power Project Phase II – 600MW
[/TD]
[TD="width: 132"]
Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"]
Rufiji District, Pwani region
TAZARA Corridor
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 600 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 14
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Stigler's Gorge Hydro Power Project Phase III – 1200MW
[/TD]
[TD="width: 132"]
Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"]
Rufiji District, Coast region
TAZARA Corridor
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 1200 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 15
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Kakono Hydro Power Project - 53 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Kagera region
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 53 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 16
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Upper Kihansi with addition at Lower Kihansi Hydro Power Project - 120MW
[/TD]
[TD="width: 132"]
Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Rufiji District, Coast region
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 120 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 17
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Mpanga Hydro Power Project - 144 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Rufiji District, Coast region
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 144 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 18
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Masigira Hydro Power Project - 118 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Ruhuhu

[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 118 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 19
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Songwe Hydro Power Project - 340 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Songwe, Mbeya region
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 340 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 20
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Taveta - Mnyera Hydro Power Project - 145 MW
[/TD]
[TD="width: 132"] Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Taveta, Mnyera
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 145 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier
[/TD]

[TD="width: 44"] 21
[/TD]
[TD="width: 142"] Development of Igamba Hydro Power Project - 8 MW
[/TD]
[TD="width: 132"]
Soliciting funds - Open for Prospective Financiers
[/TD]
[TD="width: 162"] Igamba
[/TD]
[TD="width: 198"] To generate power using Water (Hydro) to meet the growing power demands in Tanzania, will contribute to the National Grid System, injecting 8 MW.
[/TD]
[TD="width: 78"] Beyond year 2015 or earlier

[/TD]
 
500MG za uhakika, lakini waliofuata hasa huyu wa amau ya tatu na nne ameongeza ufisadi katika sekta hiyo unaotaka kumgharimu madaraka!

Za mkoloni toka Ujerumani alizikuta ngapi?

Sasa tazama Mambo ya Kikwete hapo #53 halafu wachanganye wote wakina nyerere, na mkoloni na mjerumani na mkapa na mwinyi, halafu niambie hii tu iliyokwisa anzishwa wanaifikia hata nusu yake?

Hapo sijakuwekea Symbion, sijakuwekea Artumas.
 
  • Anakopa mishahara ya watumishi wa serikali benki
  • Haoni twiga, .... , wakiibwa
  • Hana msimamo kuhusu MAGAMBA
  • ......
  • ......
  • .......
  • .....
 
Wewe ndie unaempinga peke yko,lakn sidhan kama waliokuzaa wanampinga,udini umegeuka kichaka cha kuwakosoa viongoz hasa wanapoonekana wako tofauti kiimani na nyinyi.Kukosea ni human endeavour ambayo mwanbdamu kaumbiwa.
 
One of the worst president in the history of my loved country is nyerere

Ame over stay, ameharibu uchumi, udini na ubaguzi...

Kwa sababu ni Mkristo na aliuchukia ufisadi toka moyoni. Aliifanya ikulu kuwa mahali patakatifu. Hakuruhusu biashara Ikulu.
 
Wewe ndie unaempinga peke yko,lakn sidhan kama waliokuzaa wanampinga,udini umegeuka kichaka cha kuwakosoa viongoz hasa wanapoonekana wako tofauti kiimani na nyinyi.Kukosea ni human endeavour ambayo mwanbdamu kaumbiwa.

Tazama huyu kishaanzisha dini? Inahusu nini?

Hapa tunaongelea mafanikio ya Kikwete, tuoneshe moja tu ambalo rais mwingine alilifanya zaidi ya Kikwete, nnakuhakikishia utalitafuta hulipati, utarudi hapa amma unatukana amma unaandika upupu kama wenzako huko juu.
 
Za mkoloni toka Ujerumani alizikuta ngapi?

Sasa tazama Mambo ya Kikwete hapo #53 halafu wachanganye wote wakina nyerere, na mkoloni na mjerumani na mkapa na mwinyi, halafu niambie hii tu iliyokwisa anzishwa wanaifikia hata nusu yake?

Hapo sijakuwekea Symbion, sijakuwekea Artumas.

Umejitahidi kweli kuiorodhesha miradi hiyo yote lakini cha kusangaza yote ni madeni hayo. Hakun hata mradi mmoja unaofadhiliwa na serikali unayoisifia.
Kama unasifia Symbion basi sifia na Richmond bila kusahau IPTL, na jamii yake bila ya shaka wewe utakuwa unaijua sana.
 
Za mkoloni toka Ujerumani alizikuta ngapi?

Sasa tazama Mambo ya Kikwete hapo #53 halafu wachanganye wote wakina nyerere, na mkoloni na mjerumani na mkapa na mwinyi, halafu niambie hii tu iliyokwisa anzishwa wanaifikia hata nusu yake?

Hapo sijakuwekea Symbion, sijakuwekea Artumas.
Nimekuuliza, mgao wa umeme umeisha?
 
Tazama huyu kishaanzisha dini? Inahusu nini?

Hapa tunaongelea mafanikio ya Kikwete, tuoneshe moja tu ambalo rais mwingine alilifanya zaidi ya Kikwete, nnakuhakikishia utalitafuta hulipati, utarudi hapa amma unatukana amma unaandika upupu kama wenzako huko juu.

Hivi ukweli sikuhizi nao ni upupu?
 
Tatizo tulilonalo watanzania wengi ni ushabiki wa kisiasa,unavyofikili wewe ni tofauti na ninavyofikili,we kataa haya nisemayo ila ukweli utabaki kuwa hivyo.
Huwezi linganisha Uongozi wa JK na Marais waliopita JK ameface challenges nyingi sana katika kipindi chake na hili linatokana na watendaji wake kuwa wabovu.na tumeshuhudia watu wakiwajibishwa siwez kukupa mifano ya waliowajibishwa ila natumaini unajua

Kuwa na challenge nyingi kama kiongozi haimaanishi ubora wa kiongozi, bali uwezo wa kutatua matatizo mbali mbali ambayo yanawakabili Wananchi wako na nchi yako ndio kigezo muhimu cha kuona kama kiongozi ni bora au la. Kikwete aliingia madarakani akiahidi ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hadi sasa baada ya kuwepo madarakani miaka zaidi ya sita hatujaona lolote kuhusiana na ahadi hiyo. Aliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana tulichokiona ni maisha bora kwa mafisadi, Watanzania wengi wanachoona ni kupanda kwa kiwango cha kutisha cha gharama za maisha. Aliahidi kuhakikisha kuirekebisha mikataba iliyosainiwa na Mkapa ya uchimbaji wa dhahabu yetu ambayo Watanzania wengi tumeilalamikia kwamba haina maslahi kwa nchi yetu, hadi hii leo hajafanya lolote lile bado tunaendelea kuambulia 3% na wachukuaji wakiendelea kuondoka na 97%.

Kuhusu watendaji wabovu yeye ndiye anayewateua na hajawahi kumfukuza yeyote yule tangu aingie madarakani. Kwa hiyo hili la kushindwa kuwafukuza watendaji wabovu aliowachagua ni dalili tosha kwamba mwenyewe pia ni mbovu na ndio maana haoni umuhimu wa kufukuza watendaji wake wabovu akina Ngeleja, Malima, Jairo, Mkullo, Ndulu na wengi wengineo. Utawala ambao haujali sheria mafisadi wote wa EPA, Meremeta, Kigoda, Dowans/Richmond na wengineo chungu nzima bado wanapeta tu na mapesa yao waliyoyapata kiharamu. Kamwe Kikwete hawezi kuwa kiongozi bora huyu ni kiongozi mbovu kupita kiasi inatia hata uvivu kumuona kama ni Rais wa nchi yetu. Angekuwa anajua kusoma alama za nyakati angejiuzulu miaka mingi sana ili kuinusuru nchi yetu na usanii wake ambao unaipeleka nchi yetu mahala pabaya.

 
Kuwa na challenge nyingi kama kiongozi haimaanishi ubora wa kiongozi, bali uwezo wa kutatua matatizo mbali mbali ambayo yanawakabili Wananchi wako na nchi yako ndio kigezo muhimu cha kuona kama kiongozi ni bora au la. Kikwete aliingia madarakani akiahidi ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hadi sasa baada ya kuwepo madarakani miaka zaidi ya sita hatujaona lolote kuhusiana na ahadi hiyo. Aliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana tulichokiona ni maisha bora kwa mafisadi, Watanzania wengi wanachoona ni kupanda kwa kiwango cha kutisha cha gharama za maisha. Aliahidi kuhakikisha kuirekebisha mikataba iliyosainiwa na Mkapa ya uchimbaji wa dhahabu yetu ambayo Watanzania wengi tumeilalamikia kwamba haina maslahi kwa nchi yetu, hadi hii leo hajafanya lolote lile bado tunaendelea kuambulia 3% na wachukuaji wakiendelea kuondoka na 97%.

Kuhusu watendaji wabovu yeye ndiye anayewateua na hajawahi kumfukuza yeyote yule tangu aingie madarakani. Kwa hiyo hili la kushindwa kuwafukuza watendaji wabovu aliowachagua ni dalili tosha kwamba mwenyewe pia ni mbovu na ndio maana haoni umuhimu wa kufukuza watendaji wake wabovu akina Ngeleja, Malima, Jairo, Mkullo, Ndulu na wengi wengineo. Utawala ambao haujali sheria mafisadi wote wa EPA, Meremeta, Kigoda, Dowans/Richmond na wengineo chungu nzima bado wanapeta tu na mapesa yao waliyoyapata kiharamu. Kamwe Kikwete hawezi kuwa kiongozi bora huyu ni kiongozi mbovu kupita kiasi inatia hata uvivu kumuona kama ni Rais wa nchi yetu. Angekuwa anajua kusoma alama za nyakati angejiuzulu miaka mingi sana ili kuinusuru nchi yetu na usanii wake ambao unaipeleka nchi yetu mahala pabaya.


Mawazo yako tumekusikia lakini punguza hearsay na hisia (emotions)

Njoo na economic statisitcs (evidences), kuhusu sector mbalimbali za uchumi kabla na wakati wa JK

Utaona hakuna sector ambayo perfomance yake (economic indicators) utakuta amewapita kwa mbali marais wote

Go and do your economic comparisons (facts) utakubali tu..labda uwe na chuki zako ambazo wote tunazijua source yake nini??
 
Mawazo yako tumekusikia lakini punguza hearsay na hisia (emotions)

Njoo na economic statisitcs (evidences), kuhusu sector mbalimbali za uchumi kabla na wakati wa JK

Utaona hakuna sector ambayo perfomance yake (economic indicators) utakuta amewapita kwa mbali marais wote

Go and do your economic comparisons (facts) utakubali tu..labda uwe na chuki zako ambazo wote tunazijua source yake nini??


Kwanini mie ndiye nije na hizo economics statistics za kuonyesha kwamba Kikwete ni mbovu!? wewe kama unazo za kuonyesha kwamba Kikwete si mbovu kwa kutumia evidence za kusupport argument yako kwanini usiziweke hapa? usije na namba za BoT kule kumejaa wasanii tu ambao kila siku wanatoa namba ambazo zinaonyesha uchumi wa Tanzania unakuwa kati ya asilimia 5 na kuendelea kitu ambacho hakina ukweli wowote maana ukiwauliza ni vigezo gani walivyotumia kuonyesha kwamba uchumi unakuwa kwa kiasi hicho kwa zaidi ya miaka 10 sasa wanang'aa macho. Nasubiri supporting evidence toka kwako that will be able to prove Kikwete's superiority as compared to previous presidents. Ushahidi wa kutosha upo katika kila kona ya nchi yetu hadi kufikia Kikwete kuzomewa pale UDSM ambao unadhihirisha kwamba Wananchi hawaridhiki na uongozi wa Kikwete na hata matokeo ya ucahguzi wa 2010 pamoja na kuyakachua sana ili kuhakikisha ushindi wa Kikwete bado yanaonyesha kwamba idadi ya Watanzania ambao hawaridhiki na uongozi wake iliongezeka 2010 ukilinganisha na 2005 na kama siyo kuchakachua basi Ikulu angekuwepo Dr Slaa na si Kikwete.

Sekta ya Elimu, Afya, Usafiri, Ajira, Uchumi zote Kikwete amevurunda sasa sijui unazungumzia sekta zipi ambazo zinaonyesha Kikwete ni bora.

 
Kwanini mie ndiye nije na hizo economics statistics za kuonyesha kwamba Kikwete ni mbovu!? wewe kama unazo za kuonyesha kwamba Kikwete si mbovu kwa kutumia evidence za kusupport argument yako kwanini usiziweke hapa? usije na namba za BoT kule kumejaa wasanii tu ambao kila siku wanatoa namba ambazo zinaonyesha uchumi wa Tanzania unakuwa kati ya asilimia 5 na kuendelea kitu ambacho hakina ukweli wowote maana ukiwauliza ni vigezo gani walivyotumia kuonyesha kwamba uchumi unakuwa kwa kiasi hicho kwa zaidi ya miaka 10 sasa wanang'aa macho. Nasubiri supporting evidence toka kwako that will be able to prove Kikwete's superiority as compared to previous presidents. Ushahidi wa kutosha upo katika kila kona ya nchi yetu hadi kufikia Kikwete kuzomewa pale UDSM ambao unadhihirisha kwamba Wananchi hawaridhiki na uongozi wa Kikwete na hata matokeo ya ucahguzi wa 2010 pamoja na kuyakachua sana ili kuhakikisha ushindi wa Kikwete bado yanaonyesha kwamba idadi ya Watanzania ambao hawaridhiki na uongozi wake iliongezeka 2010 ukilinganisha na 2005 na kama siyo kuchakachua basi Ikulu angekuwepo Dr Slaa na si Kikwete.

Sekta ya Elimu, Afya, Usafiri, Ajira, Uchumi zote Kikwete amevurunda sasa sijui unazungumzia sekta zipi ambazo zinaonyesha Kikwete ni bora.


Mbona umeshaanza kuzipinga kabla hata hujapewa? meaning wewe unaziamini zipi? WB, IMF au BoT? MoF ? tukupe hizo

Wananchi hasa wanafunzi ya UDSM ni munkari na hisia zilizotokana na wanasiasa wa cdm kuwajaza ujinga wanafunzi so hiyo haiwezi ku determinants ya kupendwa au success or unsuccess ya Rais ..nenda kigoma, handeni rukwa mikoa ya pembezoni alipowekeza JK ambako kuliachwa miaka nenda rudi uone wananchi wanavyofurahia..

Elimu wala usisema in terms of number of secondary and university enrollment (hakuna aliyemfikia comparisons)

Afya amewapita kwa mbali sana..
 
Mbona umeshaanza kuzipinga kabla hata hujapewa? meaning wewe unaziamini zipi? WB, IMF au BoT? MoF ? tukupe hizo

Wananchi hasa wanafunzi ya UDSM ni munkari na hisia zilizotokana na wanasiasa wa cdm kuwajaza ujinga wanafunzi so hiyo haiwezi ku determinants ya kupendwa au success or unsuccess ya Rais ..nenda kigoma, handeni rukwa mikoa ya pembezoni alipowekeza JK ambako kuliachwa miaka nenda rudi uone wananchi wanavyofurahia..

Elimu wala usisema in terms of number of secondary and university enrollment (hakuna aliyemfikia comparisons)

Afya amewapita kwa mbali sana..
Lazima kuna Tanzania mbili zinazungumizwa hapa,hiyo afya nayo si bado hata viongozi wanapelekwa India?

Ama unazungumzia vibajaji?
 
Nilitaka nikugongee "like" nikasita...

Sitaki kujiingiza kwenye hayo malumbano ya kifundamentalist kwasababu i dont believe on that crap, ndo maana nimemshangaa huyu Njabu.

Haya ndo mambo yatakayo tuletea msike mshike one day.

Pia nimegumduwa kuwa fundamentalists wengine wame concentrate kuimaliza credibility ya Mwalimu Nyerere bila hata cheme ya huruma,sijui ni kitu gani yule mzee aliwafanyia,imekuwa very personal to many of you guys hadi inatisha,halafu mtu mwenye keshatangulia mbele za haki.
Ama ni kazi ya JK hii?

Kaazi kweli kweli...

Thanks siyo lazima..

JK hahusiki na lolote ila shocks zinawapata wafuasi wake wanapoambiwa ukweli wao (st nyerere) kutokana na tafiti rasmi (evidence) hakuna la maana sana.. hawakuzoea kuona ukweli kuliko walichoambiwa for many yrs..(false messiah)
 
Kuzidisha Barabara
Kuzidisha Shule
Kuzidisha afya
Kuzidisha Uchumi
Kuzidisha Demokrasia
Kuzidisha Maji
Kuzidisha Kazi
Kuzidisha Viwanda
Utalii
Kupigana na Rushwa
Kwa haraka haraka hayo hapo juu kafanya kuliko Rais yoyote wa kabla yake.

dada ff kafanya au kaendeleza?
 
Mpaka sasa la umeme wamekaa kimya hawana la kujibu, data mwaaaa mbele ya uso. Sasa la barabara:
kutokana na kauli ya Mheshimiwa John Pombe Magufuli iliyorusha na ITV ikionesha ufunguzi rasmi wa ujenzi ya barabara ya Mayamaya - Dodoma, alisema Tanzania kwa sasa ni nchi ya kwanza katika Afrika kuwa na miradi ya barabara mingi na 80% ya miradi hiyo inalipwa kutokana na fedha zetu wenyewe. Na mkandarasi anesema halipwi basi asije kuomba kazi kwani hizo fedha zote zina dhamana za benki tena benki zao wenyewe huko nje. Mpaka sasa miradi iliyopo na tayari mikataba imeshainiwa na ipo kwenye stage tofauti kwa kiwango cha lami ni kilomita 11,600.

Sasa hapo napo semeni, Changanyani za mkoloni, nyerere, mkapa na mwinyi mkisha zijumlisha na mkipata jawabu, mseme jawabu mlilopata linafika hata nusu ya wakati huu mfupi, miaka 6 tu ya Kikwete? Nawahakikishia hamna jibu. Mtabaki kutukana tu.
 
Back
Top Bottom