Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,555
Majungu at best, huyu na wenzake Diaspora ndani ya ukumbi waliwekwa kwenye Diaspora, hawakupiga kura kwa sababu kura zote zilipigwa kwa Mikoa na mabox ya kura yalikuwa yakigawiwa kwa mikoa, wewe hukuwepo kwenye ukumbi sasa haya majungu umeyatoa wapi? Ndio mnashusha sana hadhi ya Forums na majungu kama haya, na aliyekwambia kwamba nauli wamelipiwa na CCM ni nani huyo?
- Yaani Mkutano tu wa CCM Chama tawala mnaweweseka hivi, na wakati uchaguzi wenyewe bado, tulizeni boli hawa wamekuja kwa nauli zao kwa sababu ya mapenzi yao na CCM, huku CCM tunawaruhusu kuchukua kadi zenu si huwa mnapenda kuonekana kuwa mno a wanachama wengi nje ya nchi, kumbe Songea tu hamna mwanachama hata mmoja, ni aibu sana kwa chama chenu kukimbilia kuanzisha matawi nje wakati hapa tu bongo hamna wanachama wa kutosha, tulizeni boli msilie lie sana mambo bado haya mliyataka wenyewe, mkaligoroga sasa mlinywe sio kulia lia hapa!
- Chama cha kulia lia kila wakati kulia lia tu!!
RESPECT MUCH!!
LE MUTUZ!!
Wazungu wanasema "Life begins ata 30yrs", naona wewe umeanzia 40yrs! Pole