JK na changa la macho kwa CCM DMV

JK na changa la macho kwa CCM DMV

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Ni jambo la kushangaza kuwa kuna mmojawapo wa viongozi/wawakilishi wa CCM aitwaye Eliza Luhanga kutoka Marekani DMV karushwa toka maelfu ya kilomita kupiga kura pale Dodoma kwenye uchaguzi wa CCM wakati huo huo akiwa ni mwanachama wa chama cha upinzani nchini.

JK naye kaingizwa King kuandaa chakula kwa ajili ya hao wawakilishi wakati wengine walishaukana uraia wetu huku wakiruhusiwa kupiga kura kwenye uchaguzi huo. Sasa hii ndiyo demokrasia au watu wanatafuta nafasi za kuchomokea au ndo changa la macho.

Ni lini Eliza karudisha kadi ya CHADEMA au safari ilikuwa ni kwa ajili ya shughuli maalum? You can't be two places at the same time.
Je hapo Dodoma walikuwepo watu wangapi wa namna hii na wakaruhusiwa kupiga kura?

photo+%281%29.JPG


IMG_1244.JPG


attachment.php

attachment.php






attachment.php
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    200 KB · Views: 1,268
  • Capture 3.PNG
    Capture 3.PNG
    161.9 KB · Views: 1,204
Huyo mdada mwenye kigauni cha kijani mbona kama vile ana kijasho cha kwapa....

Mkuu kinapumua....naamini siku hizi hapa kwetu Bongo kuna mitambo ya ku-recyle by-product ya hiyo process and you get paid for...teh..teh..teh
 
Uchaguzi umeisha, huu si wakati wa porojo za kampeni, ni wakati wa kuchapa kazi.
 
Kuna kitu inaitwa opportunism. Huwezi kuwa Republican na wakati huo huo ukawa Democrat. Huyu dada naona alitaka tu tiketi ya bure ya Kikwete kwenda Bongo. Lakini tutakuwa makini naye. One Shibuda is one too many.

Katika nchi za Ulaya ni kawaida kabisa mtu kuwa mwanachama wa vyama vingi vinavyofanana kisiasa. Mtu anakuwa mwanachama wa communist party na wakati huohuo wa Labour party.

Hata Africa ya Kusini kuna watu walikuwa na uanachama wa ANC na uanachama wa community party. Mfano mzuri ni Joe Slovo na Chris Hani.

CHADEMA na CCM wanasimamia jukwaa moja. Kutoa elimu, matibabu na huduma zingine za jamii bure. Tofauti zilizopo ni kuwa CCM wana madaraka na wala rushwa wakati CHADEMA wanataka kufanya ya CCM bila rushwa. Hivyo sioni tatizo kwa Shibuda na huyu mlimbwende wa siasa kuwa wanachama wa vyama hivi viwil.

z10
 
Viongozi wakuu wa CHADEMA (Zitto na wengineo) wanasifia CCM na mambo yake, itakuwa wanachama kaburukunjenje?!

Wangeanza viongozi kukosoa sera za CCM kwanza kabla ya kutaka wanachama wengine wajue tofauti iliyopo, kama kinaona ipo
 
Katika nchi za Ulaya ni kawaida kabisa mtu kuwa mwanachama wa vyama vingi vinavyofanana kisiasa. Mtu anakuwa mwanachama wa communist party na wakati huohuo wa Labour party.

Hata Africa ya Kusini kuna watu walikuwa na uanachama wa ANC na uanachama wa community party. Mfano mzuri ni Joe Slovo na Chris Hani.

CHADEMA na CCM wanasimamia jukwaa moja. Kutoa elimu, matibabu na huduma zingine za jamii bure. Tofauti zilizopo ni kuwa CCM wana madaraka na wala rushwa wakati CHADEMA wanataka kufanya ya CCM bila rushwa. Hivyo sioni tatizo kwa Shibuda na huyu mlimbwende wa siasa kuwa wanachama wa vyama hivi viwil.

z10
The list goes on.... Stephen Wassira, Walid Kaborou, Tambwe hizza, Masumbuko Lamwai
 
Sasa hapa changa la macho si kapigwa CHADEMA! yenyewe ndio imewakurupukia watu inawapa uanachama na majitambo kibao mara ooh! JK tumemuandalia mabango!
Akija tutaandamana!,
kumbe watu wanawafanyia umafia, warudi kuhakiki wanachama kule kama watampata hata mmoja.
 
Viongozi wakuu wa CHADEMA (Zitto na wengineo) wanasifia CCM na mambo yake, itakuwa wanachama kaburukunjenje?!

Wangeanza viongozi kukosoa sera za CCM kwanza kabla ya kutaka wanachama wengine wajue tofauti iliyopo, kama kinaona ipo

Ingekuwa vyema kuielewa thread, hakuna tatizo kusifia mtu kama ana-deserve credit. Maudhui ya hii thread ni tofauti na mtazamo uliouwakilisha hapo juu, hata hivyo nimekupata.
 
Katiba ya nchi haikatazi kuwa mwanachama wa chama zaidi ya kimoja.

  • Sina hakika na hili lakini nashukuru mleta mada amechana live bila chenga. Hawa ndio mandumila kuwili wanaoangalia mwelekeo wa upepo, ndio maana tunasisitiza cdm kuhakiki idadi halisi ya wanachama wake.
 
[Huyo mdada mwenye kigauni cha kijani mbona kama vile ana kijasho cha kwapa....[/QUOTE]

duuuuu una macho mdau daaaaa
 
Majungu at best, huyu na wenzake Diaspora ndani ya ukumbi waliwekwa kwenye Diaspora, hawakupiga kura kwa sababu kura zote zilipigwa kwa Mikoa na mabox ya kura yalikuwa yakigawiwa kwa mikoa, wewe hukuwepo kwenye ukumbi sasa haya majungu umeyatoa wapi? Ndio mnashusha sana hadhi ya Forums na majungu kama haya, na aliyekwambia kwamba nauli wamelipiwa na CCM ni nani huyo?

- Yaani Mkutano tu wa CCM Chama tawala mnaweweseka hivi, na wakati uchaguzi wenyewe bado, tulizeni boli hawa wamekuja kwa nauli zao kwa sababu ya mapenzi yao na CCM, huku CCM tunawaruhusu kuchukua kadi zenu si huwa mnapenda kuonekana kuwa mno a wanachama wengi nje ya nchi, kumbe Songea tu hamna mwanachama hata mmoja, ni aibu sana kwa chama chenu kukimbilia kuanzisha matawi nje wakati hapa tu bongo hamna wanachama wa kutosha, tulizeni boli msilie lie sana mambo bado haya mliyataka wenyewe, mkaligoroga sasa mlinywe sio kulia lia hapa!

- Chama cha kulia lia kila wakati kulia lia tu!!

RESPECT MUCH!!

LE MUTUZ!!
 
W. J. Malecela Umeshakuwa mtu mzima,hizi lugha waajie vijana wadogo mkuu!kwanza wewe ni mjumbe wa baraza la wazazi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom