Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
1. Dada katikati, mwenyekiti kama sikosei na weupe huo unaotisha kulikoni? au ndo mambo ya mikororogo?
2. huyu dada kama sikosei ndo yule anayejidai kutunza mali za rais marekani? niliona thredi kama hiyo hapa jukwaani nazani wiki jana.
3. CCM inakufa inapofika hatua ya kuleta watu tena kwa gharama kubwa ili tu kupigi kura.
2. huyu dada kama sikosei ndo yule anayejidai kutunza mali za rais marekani? niliona thredi kama hiyo hapa jukwaani nazani wiki jana.
3. CCM inakufa inapofika hatua ya kuleta watu tena kwa gharama kubwa ili tu kupigi kura.