JK, Mukama watua Dodoma, utata mtupu mawaziri 8

Habari nilizonazo ni kwamba ameshatua anga hizo tayari!

source! Ni jamaa wa karibu na msafara wake!
 
nshachoka na tetesi, kila saa na mambo yenyewe hayatokei... Emh subilini akifika ndo muanze kupost, arghh.!!!
nilikua nimeandaa wine zangu kufurahia mawaziri kuachia ngazi imebid nizirudishe kwenye friji ya jirani mpka jumatatu
 
Napata shida kidogo kama anaweza kufanya kitu. Kila waziri aliyetajwa ana maslahi binafsi na huyu bwana. Sana sana atasema hili shinikizo la upinzani haoni makosa yao.
 
Asituumize vichwa huyo, tuna mtaji wetu wa signature 75, kazi itakuwa ni kubadili heading tu - badala ya kutokuwa na imani na PM inakuwa KUTOKUWA NA IMANI NA RAISI.Simple!
 
Tatizo la Tanzania wasomi wengi hawako kwenye siasa, ndiyo maana JK na maraisi waliopita wanapata shida sana kuchaguwa viongozi, walioko CCM siyo wasomi ni wezi tuuu..

Halafu yeye being who is marafiki zake nao wa karibu siyo wasomi kihivyo hao anaowapa ulaji, kwa hiyo mambo ni mpwetempwete tuuuuuuuuu
 
mayb akatangaza baraza jipya hapo j3
atasingizia kuwa alishapanga kuwatimua siku nyingi
ili isijekuonekana ni shinikizo la chadema na wabunge kadhaa wa upinzani
nimeshangaa hata Lusinde mwanakudadeki nae yuko tayari kuachia ubunge wake
kama hali itaendelea kuwa ile ile serikalini.
 
Mkuu BAK,

Nnji hii tatizo ni KIKWETE.Jiulize tu amebadili baraza la mawaziri mara ngapi? Ina maana mara zote hizo anawapata watu Ma bogus?
Tumsaidie Rais wetu ndo maana ana watendaji chini yake, na ili kujua kinachofanyika kwenye nchi yake alimuagiza CAG kukagua matumizi ya serikali yake. Matokeo mmeyaona. Hongera sana Rais wetu zidi kuwaumbua Mafisadi usiangalie sura.
 
Tatizo la Tanzania wasomi wengi hawako kwenye siasa, ndiyo maana JK na maraisi waliopita wanapata shida sana kuchaguwa viongozi, walioko CCM siyo wasomi ni wezi tuuu..

Halafu yeye being who is marafiki zake nao wa karibu siyo wasomi kihivyo hao anaowapa ulaji, kwa hiyo mambo ni mpwetempwete tuuuuuuuuu

Karudie ka utafiti ndugu. Tuna wasomi wengi wameacha kazi zao na wengine walikuwa waalimu wa vyuo vikuu na sasa wako kwenye siasa. Sema tu kwamba uzalendo hakuna.
 
Mkuu, hata ungekuwa wewe ndio JK ungesifiwa hivyohivyo. Aliyeishika ngoma kubwa ndiye mwenye sifa zaidi ngomani. Kule kwetu ukwereni ndivyo tunavyoamini.

Hahaaaa umenikumbusha enzi hizo shule ya msingi yule anayepiga ngoma kubwa kwenye pendi ya shule ndo anapapatikiwa na mademu hatariiii...hahaaaa
 
Mkuu BAK,

Nnji hii tatizo ni KIKWETE.Jiulize tu amebadili baraza la mawaziri mara ngapi? Ina maana mara zote hizo anawapata watu Ma bogus?
hakuna baraza la mawaziri amewahi kuunda ni baraza la washukaji tuu, yeye jk hana tatizo ila yeye mwenyewe ni tatizo!!
 
Mkuu BAK,

Nnji hii tatizo ni KIKWETE.Jiulize tu amebadili baraza la mawaziri mara ngapi? Ina maana mara zote hizo anawapata watu Ma bogus?

Naam Mkuu tuliandika sana hapa kabla ya uchaguzi wa 2010 na ushahidi uliwekwa wa kutosha tu kuonyesha kwanini msanii Kikwete hakustahili kuendelea kuwa Rais wa nchi yetu lakini magamba wakapuuza na katika uchaguzi mkuu ule ambao mimi naamini kabisa kwamba mshindi halali alikuwa ni Dr Slaa, magamba walitumia kitengo chao cha uchaguzi (Tume ya uchaguzi) na vyombo vya dola kuchakachua matokeo ya Urais na pia matokeo ya Ubunge katika majimbo mengi nchini.
 
Tumsaidie Rais wetu ndo maana ana watendaji chini yake, na ili kujua kinachofanyika kwenye nchi yake alimuagiza CAG kukagua matumizi ya serikali yake. Matokeo mmeyaona. Hongera sana Rais wetu zidi kuwaumbua Mafisadi usiangalie sura.

Shiiit, wew ndo JK mwenywe nini au ni Gamba mwenzi maana nyinyi mlivyokua na akili kama za PUNDA!! Au wewe Lukuvi
 
tatizo mawaziri wakristo si waungwana (WEZI), nani yule mdini utasikia anatoa hiyo hoja. aaah JeyKeyy Maisha bora ZAIDI x ZAIDI kwa kila mTZ
 
Munaharibu kwa kuacha mada. Tutarajie nini? Je, atabadili baraza ama atalivunja? Kuvunja ni hatari kwake maana PM atakayemchagua atahitaji kura za wabunge, na upepo si mzuri ndani ya Bunge, akikosa ni hatari.

aakh,afanye lolote nchi imemshinda..amalize muda wake.HUYU NADHANI NCHI AMBAYO HAJATEMBELEA NI TIMOR MASHARIKI TU.
 
Nashangaa watu wanamsifia nini huyu mtu. Yeye ndiye kawachagua hao watu, yeye ndiye serikali yake imeonyesha udhaifu wa ajabu. Cha ajabu mambo yanapokuwa mabaya, anajifanya yeye kama outsider! JK is not going to be the solution to our problems, because he "himself" is part and parcel of the major problem.

Hakika!!

Simply Kikwete is the founder andthe root cause of the problem period!!!!
 
Back
Top Bottom