aliyeongelea suala la medical checkup..je ni kwenda kuchekiwa au ni kwenda ku......... kuna tofauti ya kuchekiwa na kujulikana kuwa waumwa kitu flani so ukienda hospitali wafuata tiba tuu na sio kuchekiwa tenaaa
Ukweli wa mambo ni kwamba JK kwenda Rome ama Holy Sea ni kujibu tuhuma za udini ambao aliingia nao madarakani kwa teuzi zake . Habari toka Holy Sea zinasema kwamba Kanisa liliona hatua za makusudi za JK na teuzi zake za udini na ahadi yake ya Mahakama ya Waislam .Sasa aliitwa muda mrefu sana na sasa anaenda kujibu hili kwa kuwa Kanisa lilimkubalia kuwa Rais wa Watanzania na si washikaji na watu wa upande mmoja na madaraka .
Ukweli wa mambo ni kwamba JK kwenda Rome ama Holy Sea ni kujibu tuhuma za udini ambao aliingia nao madarakani kwa teuzi zake . Habari toka Holy Sea zinasema kwamba Kanisa liliona hatua za makusudi za JK na teuzi zake za udini na ahadi yake ya Mahakama ya Waislam .Sasa aliitwa muda mrefu sana na sasa anaenda kujibu hili kwa kuwa Kanisa lilimkubalia kuwa Rais wa Watanzania na si washikaji na watu wa upande mmoja na madaraka .
Ukweli wa mambo ni kwamba JK kwenda Rome ama Holy Sea ni kujibu tuhuma za udini ambao aliingia nao madarakani kwa teuzi zake . Habari toka Holy Sea zinasema kwamba Kanisa liliona hatua za makusudi za JK na teuzi zake za udini na ahadi yake ya Mahakama ya Waislam .Sasa aliitwa muda mrefu sana na sasa anaenda kujibu hili kwa kuwa Kanisa lilimkubalia kuwa Rais wa Watanzania na si washikaji na watu wa upande mmoja na madaraka .
Hamna cha kushangaza wajameni mbona kaalikwa tu na waziri mkuu wa Italy, na offcourse ni moja ya majukumu ya rais kujega mahusiano mema na nchi nyingine diniani kote,sasa cha kushangaza ni nini?
... Enzi za JK Nyerere tuliwapokea 'vigogo' kama; Queen Elizabeth, Indira Gandhi, Pope John Paul nk, zama hizi 'madhali hawaji', bora rais awafuate huko huko!
Umenichekesha sana hapo, By the time anafika City of Light anakuwa ameshasahau yote aliyoambiwa Eternal City..Kweli mambo ya around the world in 80 days.
Dua,
Akipewa Biblia aende matendo ya mitume 5. Hapo atasoma nguli mmoja enzi hizo kwa jina la Gamaliel alivyotumia busara ya kiwango cha juu kuamua mashtaka yaliyowakabili Petro na kundi lake. Kilio dhidi ya ufisadi ni kilio cha majority ya watanzania, hivyo kupuuzia kilio hiki inaweza kuwa kumpuuza mwenyezi Mungu.
Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akiangalia nyama katika moja ya maduka ya kuuzia kitoweo hicho cha Ng'ombe lililopo katika soko la Buguruni jijini Dar es Salaam Septemba 17, 2007. Dk Shei yupo katika ziara ya siku tatu kukagua hali ya vyakula na bei katika masoko jijini humo.
angemruhusu Dr Shein akaenda some of hizi safari ili naye apate allowances za kusafiri nje badala ya kuishia kwenda kwenye bucha za nyama... poor Shein