JK kaacha kishindo Dar?


Naona wewe inabidi uwe mganga wa kienyeji. Utafanikiwa sana:teeth:
 
kaacha kishindo puuuuuuuuuuuuuuh maana naona hamtaki kutuambia
 
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi

Hakuna lolote wala chochote AMANI INAZIDI KUTAWALA TU. Na Chadema wakileta za kuleta NGUVU ZA DOLA ZITAWAANGUKIA tena kwa kishindo kikubwa sana.
 
Wakuu Mwanakijiji na Halisi hebu tujuzeni basi roho zetu zitulie!
 
mbona mwanakijiji na halisi mmesepa?......ndio mambo gani haya, ya kukeshesha watu namna hii.....wekeni hata tetesi basi.
 
mbona mwanakijiji na halisi mmesepa?......ndio mambo gani haya, ya kukeshesha watu namna hii.....wekeni hata tetesi basi.

..Huoni kwamba thread iko ktk jukwaa la tetesi? Kama tetesi haijatiki si wanasepa tu?
 
...Hakuna Lolote. Mkwere hana Ubavu wa kuibua kishindo chochote sasa. Msimpe sifa asizostahili.
 
Sasa imekuwa kupotezeana muda, kama udaku tuambieni sasa
 


Heshima kwako Kichuguu,

Kama yupo mtanzania hajkuelewa atakuwa mwehu.
 
HAKUNA HAKUNA :A S 13::A S 13:KITU NI POROJO POROJO:A S 100:, UDAKU UDAKU :yell::yell:NA UMBEA UMBEa:gossip::gossip::target::target::clap2::clap2:
 
ssm na vyombo vya dola ndio watakaomwaga damu,cdm wanaandamana kwa amani wala hawana fujo lets them play their part,serikali isiwachokoze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…