sensa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 397
- 22
Inashangaza sana nchi ambayo amigubikwa na matatizo kibao bado mpaka leo wanapongezana,hilo ni tatizo kubwa sana.Mimi naamini kabisa JK hana sifa za kuiongoza nchi hii wala hakutakiwa kupewa nafasi kamwe na yeye kupata nafasi hii ni matunda ya ufisadi kwani chini ya utaratibu wa kawaida wa kuchaguana ccm isingekuwa rahisi kuwazidi kina Salim.JK alipita kugombea urais kwa mbinu chafu na tutegemee ujinga hivyo hivyo mpaka kipindi chake kiishe.