georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
Huyu si alituhumiwa na mwenyekiti wa bodi kwa maamuzi yenye shaka???Shirika la ovyo sana, JK ni moja ya watu walioliangamiza kwa kuingia mkataba wa kifisadi na IPTL, akiwa ni waziri wa nishat na madini,
Mkuu, unaweza kutuwekea tuhuma za ufisadi za JK, kama ambavyo ilitajwa na Dr. Slaa pale mwembe yanga temeke?
Mkurugezi aanzie na hapo, kisha ashushe gharama za bei ya umeme.