Jamani ni nini hii?
Nilitegemea amteue Mhandisi Boniface Njombe kuwa Mkurugenzi Mtendaji.
Jamaa huyu anatisha kwa utendaji na ni mtu wa principles maishani mwake.
Hahongeki, hasaundiki, anachojua yeye ni kazi, haki bin haki. Kuna wakati alifanya kazi mkoa fulani, wa kabila lake wakadhani atawasaidia na matatizo yao, aliwaacha hoi na kuwatimulia vumbi akiwabana na taratibu za utumishi wa umma.
Lakini anyway, penye miti hapana wajenzi.
Atakuwa ni Mbena huyo, wabena ndivyo walivyo hawana undugu.