MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,741
- 1,006
Kwisha habari ya Taa ne sconga! Maana imedhihirika sasa kuwa hilo shirika ni la wapare na wachaga, na kwa sababu jamaa wamevamia mapenzi kwa kasi ya upepo basi hatutashangaa kusikia kuwa ili upate umeme lazima uwe nyumba ndogo ya meku au baba dhao! Wameuza shirika kwa bei ya kujigawia! Bye bye shirika bovu lililobaki linasuasua!
hahahaha