Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 164
Heshima Mbele,naomba kuwaletea uteuzi mpya alioufanya Muungwana na atwaapisha leo..naomba muangalie majina ya hao watu na wasifu wao..
Jaji Amiri Ramadhan Manento---Mwenyekiti wa Tume
Mahfoudha Alley Hamid---Makamu wa mwenyekiti wa tume hiyo.
Joaquine De Mello -kamishna
Zahor Juma Khamis -kamishna
Bernadeta Gambishi-kamishna
Jaji Manento::---alistaafu nafasi ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Januari Mahfoudha Hamid:--aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (2001-2006De Mello ni wakili wa kujitegemea,
Khamis ni mfanyabiashara
Gambishi ni Katibu wa Mkoa, Idara ya Huduma kwa Walimu Mkoa wa Shinyanga.
Jaji Amiri Ramadhan Manento---Mwenyekiti wa Tume
Mahfoudha Alley Hamid---Makamu wa mwenyekiti wa tume hiyo.
Joaquine De Mello -kamishna
Zahor Juma Khamis -kamishna
Bernadeta Gambishi-kamishna
Jaji Manento::---alistaafu nafasi ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Januari Mahfoudha Hamid:--aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (2001-2006De Mello ni wakili wa kujitegemea,
Khamis ni mfanyabiashara
Gambishi ni Katibu wa Mkoa, Idara ya Huduma kwa Walimu Mkoa wa Shinyanga.