Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Bora Blandina Nyoni na Shamsa Mwangunga wametengenishwa maana ilikuwa kama Baghdad kila siku kunafuka moshi
Toa details ili tuelewe moshi ulikuwa unafuka vipi! au sivyo tuuite uzushi
Bora Blandina Nyoni na Shamsa Mwangunga wametengenishwa maana ilikuwa kama Baghdad kila siku kunafuka moshi
Kwa Rutabanzibwa kumwita fisadi nadhani ni mapema mno na twaeza mwonea.The man is a fearless fighter wa ufisadi.Alipigana kufa na kupona kupinga mikataba mibovu ya IPTL lakini akazidiwa nguvu na mafisadi.
Binafsi namheshimu kama mtu mwenye msimamo asiyependa rushwa kabisa na wala hana mpango nayo,mchapa kazi na asiyeyumba akiamua kusimamia kitu.labda awe alibadilika hapo katikati maana binadamu aweza geuka awapo safarini akaacha kuangalia mbele aendako akageuka nyuma kukumbatia kusalimiana na kula na mafisadi.
Kwenye kundi la mafisadi walioko sasa Rutabanzibwa nawaza kumtoa.Sina uhakika sana kama niko sahihi au siko sahihi lakini nafikiria nimtoe kichwani mwangu kwenye kundi la mafisadi ninaowawazia.
Toa details ili tuelewe moshi ulikuwa unafuka vipi! au sivyo tuuite uzushi
Huyu ni kati ya watu waliotetea kufa na kupona kampuni ya NETGROUP. Kumwita ni fighter au mtu wa maadili ni kumwonea, kwa sababu siyo! Kwa vigezo pana vya ufisadi, huyu hawezi kukwepa.
By the way, how is this news "breaking"?
Inawezekana kweli aliitetea Net Group lakini kwa undani zaidi, ndiye aliyechangia kuwabana hao Net Group na ndiye aliyesaidia hata Watanzania wahafahamu udhaifu wao hata kabla hawajaanza kazi.
Naamini utaelewa (kwa undani zaidi), maana kabla hata kina Huysen wa Net Group hawajatua Dar es Salaam, gazeti la Mtanzania la wakati huo liliandika majina yao na hata wakaweza kupata picha zao pale Airport waliposhuka, usidhani ilikuwa ni bahati mbaya tu waliwaona pale Airport. Kwa ufupi huyu bwana ni mpambanaji.
Kuna wakati alilalamikia serikali kwa kumuuzia nyumba ambayo serikali iliikarabati kwa gharama kubwa zaidi kabla ya kuiuza.
kwa heri mgonja...tutakutana kisutu!!!!
- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
kulikuwa na vikao vya siri vya kamati za el kugombea urais vilivyokuwa vikifanyika katika hotel ya mzee mmoja mjini anayeitwa Msiba. vikao hivyo vilikuwa vikiongozwa na mramba. na leo mtoto wa mramba ameolewa na mtoto wa huyo msiba. kwamba harakati zimewaka moto za 2010 kwa sababu makubaliano ya mtandao yalikua muungwana atawale term moja tu amuachie el lakini sasa anaonekana kukiuka makubaliano.
Inawezekana kweli aliitetea Net Group lakini kwa undani zaidi, ndiye aliyechangia kuwabana hao Net Group na ndiye aliyesaidia hata Watanzania wahafahamu udhaifu wao hata kabla hawajaanza kazi.
Naamini utaelewa (kwa undani zaidi), maana kabla hata kina Huysen wa Net Group hawajatua Dar es Salaam, gazeti la Mtanzania la wakati huo liliandika majina yao na hata wakaweza kupata picha zao pale Airport waliposhuka, usidhani ilikuwa ni bahati mbaya tu waliwaona pale Airport. Kwa ufupi huyu bwana ni mpambanaji.
Kuna wakati alilalamikia serikali kwa kumuuzia nyumba ambayo serikali iliikarabati kwa gharama kubwa zaidi kabla ya kuiuza.
Hivi kuna ajabu gani watu ambao watoto wao wanataka kuooana kufanya vikao? Wote tunajua toka kutuma posa hadi harusi ni lazima vikao kibao vipite. Hata kabla ya hivyo kuna vikao vya kutambulishana ndugu, kujadili mahari na gharama nyingine. Mimi, hii habari naitilia shaka.
Quote:- FMES
- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
- Na besides vikao vilikuwa ni vya urais wa EL sio harusi, sio tatizo kujitilia shaka kama hujaielewa habari ambayo tayari imesemwa kuwa sio ya uhakika.
Quote:- FMES
- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
Lakini kaka kuna watu humu ndani wamezidii, utadhani mtu anakaa siku nzima kuangalia kama fulani kaandika kitu ili apinge, yaani badala ya kupinga na hoja anachambua maneno, kwamba hili neno au hili hayajakaa vizuri yaani utadhani mwanasheria ambaye anataka kushinda kesi kwa kupindisha maneno, na mara nyingine huwa hawaangalii maneno yaliyoandikwa na kuanza kubisha upuuzi, kama hapo mtu kashasema na yeye hana uhakika lakini bado wanataka kumhukumu na maneno yake (utadhani sio watu wenye akili zao na kuweza kuchambua kilichoandikwa). Wanakuwa kama watoto sasa.Katika mchuano na mpambano huu wa hoja hapa JF naona kati ya kina Mchundo na FMES bado umo...Ila naona FMES amebadili tactics kwa ghafla na hivyo kumchanganya Fundi Mchundo kiaina..At least kwa wakati huu...Kwasababu FMES alishasema habari isiyokuwa na uhakika, na FM akaikosoa habari hiyo bila kutilia maanani kauli ya mwanzo ya habari hiyo kutokuwa na uhakika.
All in all hapa JF tuna uwezo wa kusoma katikati ya mistari na kwahiyo mambo hayawezi kuharibika provided tunaeleweshana pasi na matusi.
...
- Muungwana alikuwa foreign huyu sister alikua Hazina, kwa kawaida foreign huwa wanaamini wanajua sana kuliko sekta zote za serikali bongo, kwa hiyo huwa hawakubali ushauri wa mtu yoyote, ndio maana huyu sister aliamua kumtolea uvivu bosi wao huko huko majuu.
...
mkuu naona hapa huwatendei haki foreign. naamini mara nyingi nasisitiza "mara nyingi" watu wa sekta nyingine za serikali ndio wanapenda kuwaona wizara ya mambo ya nje "wanaamini wanajua sana". lakini hili linaweza kujadiliwa kwenye thread ya peke yake.
pamoja na yote kuna mdau hapo juu ameuliza huyu mama mapunjo si wa longi hapo hazina? hivi madudu yote yaliyokuwa yanafanyika hapo hakuwahi kuyaona na kuwatolea uvivu akina mgonja kama alivyomtolea uvivu jk?
1.
- Kwenye hilo ninaongea na authority kubwa sana kwa sababu nimeshwahi kutoa mifano mingi sana, kwamba ni foreign ndio wenye problem, ukitafuta michngo yangu nyuma utaona jinsi kivumbi kilichotokea kuhusu houtba ya Mama Salma recently pale UN.
2.
- Bosi wa hazina alikuwa another friend of mine sister Blandina you know that, Joyce alikuwa ni mtu mdogo sana, ndio maana hata muungwana alishangazwa na ujasiri aliokuwa nao kumjibu vile na mpaka leo anamheshimu kuliko na hakuna kiongozi mkuu wa serikali asiyejua umakini wa huyu sisiter inapokuja ishus muhimu za uchumi na taifa letu, na huwa haogopi, lakini hakuwahi kuwa kwenye position yoyote ya kumuhusisha na unayoyasema, au?