je aliwahi kuwapa ukweli wakuu wake wa kazi? kama sikosei dada huyo alishawahi kuwa idara inayohusika pia na pesa za nje pale hazina na hakuwa mtu mdogo sana je huko alikokuwa mambo yalikuwa shwari? au aliwahi kupiga kelele lakini kwa vile alikuwa mtu "mdogo" sauti yake haikusikika.
Kumuweka Dr. Turuka pale Utamaduni na michezo ni matusi kwa elimu ya huyu mtu.......similar to what happened to Mh Sarungi........hivi hawa washauri wa JK wanaangalia kweli CV za watu au basi tu ili kumpandisha mtu cheo.........!!
Katika mchuano na mpambano huu wa hoja hapa JF naona kati ya kina Mchundo na FMES bado umo...Ila naona FMES amebadili tactics kwa ghafla na hivyo kumchanganya Fundi Mchundo kiaina..At least kwa wakati huu...Kwasababu FMES alishasema habari isiyokuwa na uhakika, na FM akaikosoa habari hiyo bila kutilia maanani kauli ya mwanzo ya habari hiyo kutokuwa na uhakika.
All in all hapa JF tuna uwezo wa kusoma katikati ya mistari na kwahiyo mambo hayawezi kuharibika provided tunaeleweshana pasi na matusi.
Lakini kaka kuna watu humu ndani wamezidii, utadhani mtu anakaa siku nzima kuangalia kama fulani kaandika kitu ili apinge, yaani badala ya kupinga na hoja anachambua maneno, kwamba hili neno au hili hayajakaa vizuri yaani utadhani mwanasheria ambaye anataka kushinda kesi kwa kupindisha maneno, na mara nyingine huwa hawaangalii maneno yaliyoandikwa na kuanza kubisha upuuzi, kama hapo mtu kashasema na yeye hana uhakika lakini bado wanataka kumhukumu na maneno yake (utadhani sio watu wenye akili zao na kuweza kuchambua kilichoandikwa). Wanakuwa kama watoto sasa.
Nimepinga mtazamo kuwa kwa vile Mramba amefanya vikao kwenye hoteli inayosemekana ni ya baba wa mkwe mtarajiwa wake basi ni lazima vilikuwa ni vikao vya kufanya hujuma dhidi ya utawala uliopo. Kwamba vikao hivyo vilikuwa vya kupanga urais wa EL.
pamoja na Blandina Nyoni anayekwenda Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akitokea Maliasili na Utalii.
Fundi Mchundo- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
kulikuwa na vikao vya siri vya kamati za el kugombea urais vilivyokuwa vikifanyika katika hotel ya mzee mmoja mjini anayeitwa Msiba. vikao hivyo vilikuwa vikiongozwa na mramba. na leo mtoto wa mramba ameolewa na mtoto wa huyo msiba. kwamba harakati zimewaka moto za 2010 kwa sababu makubaliano ya mtandao yalikua muungwana atawale term moja tu amuachie el lakini sasa anaonekana kukiuka makubaliano.
Bongolander said:Unajua mtu kama Prefesa Sarungi kutokana na profession yake hakutakiwa hata kuingia kwenye siasa.
Huu ni uteuzi unaofaa sana kwa taifa, maana huyu sister hana mchezo ni kazi tu I can't wait siku atakapokuja kuwa waziri mkuu, maana mbingu zitashuka.
Nakumbuka siku moja mkutanoni Paris alivyomshangaza muungwana akiwa waziri, kwa kuiita hoja yake kuhusu uchumi wa bongo kuwa ni nonsense na kwamba anahitaji kwenda kufanya homework, duh! mkulu hakuamini kuwa huyu dada ana huu ubavu!
Na pia ninakumbuka wakati tunasubiri cabinet ya kwanza ya awamu ya nne kutangazwa, nilimuuliza vipi, akasema baada ya ile ya Paris haamini anaweza kupewa anything, huyu sasa anaondoka kumbe muungwana huheshimu wanaoweza kumpa facts usoni bila uoga.
Saafi sana sister Joyce wembe ni ule ule kumkoma nyani usoni tu, najua upo hapa respect na nitakutwangia later!
Fundi Mchundo
FMES alisema hivyo, kwamba kuna habari inasema hivyo ila hana uhakika, na wewe badala ya kuja na hoja ya kukubali au kupingana wewe unauliza maswali na kutaka majibu ya maswali ya kitu ambacho FMES kauliza, na yeye ameuliza ili kama ilivyo kawaida ya JamiiForum watu wengine wanaongezea data juu yake lakini sio wamuulize maswali, na wewe unamjua vizuri FMES kama ana uhakika na alichokisema huwa anasema hivyo na kama hana uhakika anasema na watu wengine wanachangia kumuambia kilichotokea au kuongezea maneno. Na jamaa unajua kwamba huwa anatoa data hata wakati hata kikao kinaendelea na mara nyingi inakuwa kweli na kesho yake unazikuta kwenye vyombo vya habari. Kwa nini na wewe usije na hoja zako? nilitumia neno kama watoto kwa sababu kama hujaelewa hicho nilicho-quote hapo juu basiii.
Otherwise big deal for nothing! na waste of time and space kwa wananchi.
Kumbe tatizo lilikuwa ni kumuuliza swali FMES? kwa mtaji huu, tutafika kweli?
Fundi Mchundo hii ni mara yangu ya mwisho kukuandikia, kwa sababu kuna watu wawili mjinga na mpumbavu (Mods sina ubaya na mtu hapa ni mfano tuu) , kuna mmoja kati ya hao ambaye hata ufanyeje hawezi kukuelewa au hataki kukuelewa so good luck! upo hapa jamvini kutokea Fri Nov 2007 na wewe ni Expert Member humu kwa hiyo kama bado haujaelewa nini kinaendelea basii. Ni kweli nimesema unauliza swali kwa mtu aliyesema hana uhakika na habari aliyoipata sasa wewe unataka nini? tatizo sio kumuuliza FMES angekuwa mtu yeyote humu ndani ungemuuliza ningekushangaa! Kwa hiyo usinifanye nifikirie kwamba wewe ni mmoja katika watu niliowa-difine hapo juu (Samahani kama imekukera ila nauliza tuu) na hauna haja ya kunijibu maana sitaendelea kuandikiana na wewe.
NB: ninavyoona Expert Member huwa ninajua una uelewa mzuri na akili ya kuchambua vitu.
According to the data,ni kuwa Bibi Joyce Mapunjo kahamaishwa pale baada ya kuwapo ugomvi wa muda mrefu kati yake na Omari Chambo,Huyu mama ni kiboko na hapendi mambo ya usanii na kuleteana siasa ndani ya kazi.
Uteuzi mwingine wa mama Nyoni kuhamishiwa pale wizara ya Maliasili ni kutokana na yeye kutoelewana kabisa na mama Mwangunga na hadi ilifikia kipindi yule mama alishwahi kumshartaki kwa Mkulu wa Nchi kwamba anamkwamisha.Kumbuka mamama nyoni alitolewa pia wizara ya Fedha baada ya kuwa na Ugomvi na CAG.wanashindwa kumtoa sababu ni mchapa kazi na hawana sabau ya kumwangamiza.
hii ni mara yangu ya mwisho kukuandikia, kwa sababu kuna watu wawili mjinga na mpumbavu (Mods sina ubaya na mtu hapa ni mfano tuu) , kuna mmoja kati ya hao ambaye hata ufanyeje hawezi kukuelewa au hataki kukuelewa so good luck!