Kwa tunaojua siasa za bongo hiyo scenario ni 100% kweli, na tayari watu kibao wameshaingizwa mkenge kuhusu sanaa inayochezwa na JK na EL. Mhanga wa kwanza kabisa ni mbunge wa Kyela, hii madai ya kupewa sumu wala hayana connection na Richmond bali ni mbio za urais 2015. Inshallah Mungu akitujalia uzima tutayaona muda sio mrefu yakijifunua