BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
........sureKuna kiwango cha kuchuja hizo tetesi zako. Chukua tetesi then changanya na akili za kwako,si kila kitu unameza tuu!!! Amsha akili kutoka likizo!!
........sureKuna kiwango cha kuchuja hizo tetesi zako. Chukua tetesi then changanya na akili za kwako,si kila kitu unameza tuu!!! Amsha akili kutoka likizo!!
Kweli siasa ni mchezo mchafu. Unaweza kumsikia mwanasiasa anasema hiki ukafikiri anamaanisha kumbe ni kuhadaa wananchi tu, hii imedhihirika baada ya kupata tetesi kutoka Ikulu ya Dodoma kuwa anayeandaliwa kuwa Rais mwaka 2015 ni Edward Lowasa na sio Asha Rose Migiro wala Amani Karume.
Mtoa habari hizi ameeleza kuwa mipango hii inafanywa kwa ustadi mkubwa sana kiasi kwamba sio rahisi watu kufahamu kinachoendeleo hivi sasa.
Ameendelea kusema, mbinu alizozifanya na atakazoendelea kuzifanya ni pamoja na;
- Kujifanya ni adui mkubwa wa Lowasa kwa sasa ili watu waamini hivyo
- Kumlejesha Asha Rose Migiro nyumbani ili aanze kuonekana kwa watu ambapo hivi karibuni atamteua kuwa mbunge na hatimaye waziri (Kumbuka JK bado ana nafasi 7 za wabunge, zilikuwa zinamsubiri mama huyu).
- Hata mabadiriko ya baraza la mawaziri lililoandikwa sana kwenye vyombo vya habari lilikuwa linamsubiri Asha.
- Anasema, '' UKWELI NI KWAMBA ASHA HAADALIWI KUWA RAIS BALI WAZIRI MKUU''
- Ananiambia, Siri ya JK na Lowasa ni kubwa Mno mpaka uijue unakuwa umeaminiwa sana na hawa watu.
- Lowasa atajulikana mwishoni kabisa kwenye maamuzi ya CC ambayo mtu pekee wa kuamua ni JK mwenyewe kwavile hana mtu mwingine wa kumpinga mle.
- Kuwaondoa Marais wastaafu kwenye CC ndiyo ulikuwa mtihani wake mgumu sana na sasa kafaulu na baada ya mchakato huo wazee hao watarudishwa tena CC.
Nawasilisha.
Kweli siasa ni mchezo mchafu. Unaweza kumsikia mwanasiasa anasema hiki ukafikiri anamaanisha kumbe ni kuhadaa wananchi tu, hii imedhihirika baada ya kupata tetesi kutoka Ikulu ya Dodoma kuwa anayeandaliwa kuwa Rais mwaka 2015 ni Edward Lowasa na sio Asha Rose Migiro wala Amani Karume.
Mtoa habari hizi ameeleza kuwa mipango hii inafanywa kwa ustadi mkubwa sana kiasi kwamba sio rahisi watu kufahamu kinachoendeleo hivi sasa.
Ameendelea kusema, mbinu alizozifanya na atakazoendelea kuzifanya ni pamoja na;
- Kujifanya ni adui mkubwa wa Lowasa kwa sasa ili watu waamini hivyo
- Kumlejesha Asha Rose Migiro nyumbani ili aanze kuonekana kwa watu ambapo hivi karibuni atamteua kuwa mbunge na hatimaye waziri (Kumbuka JK bado ana nafasi 7 za wabunge, zilikuwa zinamsubiri mama huyu).
- Hata mabadiriko ya baraza la mawaziri lililoandikwa sana kwenye vyombo vya habari lilikuwa linamsubiri Asha.
- Anasema, '' UKWELI NI KWAMBA ASHA HAADALIWI KUWA RAIS BALI WAZIRI MKUU''
- Ananiambia, Siri ya JK na Lowasa ni kubwa Mno mpaka uijue unakuwa umeaminiwa sana na hawa watu.
- Lowasa atajulikana mwishoni kabisa kwenye maamuzi ya CC ambayo mtu pekee wa kuamua ni JK mwenyewe kwavile hana mtu mwingine wa kumpinga mle.
- Kuwaondoa Marais wastaafu kwenye CC ndiyo ulikuwa mtihani wake mgumu sana na sasa kafaulu na baada ya mchakato huo wazee hao watarudishwa tena CC.
Nawasilisha.
Hivi cdm itakuwepo wakati huo ?Ni tetesi lakini naamini hivyo. JK ana kila sababu ya kufanya hivyo kwa madudu aliyofanya na Lowassa, wa kumlinda yeye ni lowassa tu. Sitta atawafunga, Membe hana ubavu wa kuhimili vishindo vya raia wakati huo. Lowassa ndiye chaguo lake pekee kwa ajili ya kujilinda na sio maendeleo ya nchi. Hata hivyo naamini CDM watachukua nchi na utakuwa mwisho wa hao mafisadi.
Hahahahaaaaaaaa! Dah! Inaonesha we mdogo wake na Mr Bean. Karibu J.F.
Not always true....je kama your expectation ni kama ilivyokuwa kwa mbunge wa Ilemela (Kiwia or whatever his name is) ambaye alitegemea kuangushwa kwa kishindi na Diallo,, lakini outcome ikawa ushindi?? Frustration si mahala pakefrustration = expectation/outcome