wwww
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 350
- 252
Kweli siasa ni mchezo mchafu. Unaweza kumsikia mwanasiasa anasema hiki ukafikiri anamaanisha kumbe ni kuhadaa wananchi tu, hii imedhihirika baada ya kupata tetesi kutoka Ikulu ya Dodoma kuwa anayeandaliwa kuwa Rais mwaka 2015 ni Edward Lowasa na sio Asha Rose Migiro wala Amani Karume.
Mtoa habari hizi ameeleza kuwa mipango hii inafanywa kwa ustadi mkubwa sana kiasi kwamba sio rahisi watu kufahamu kinachoendeleo hivi sasa.
Ameendelea kusema, mbinu alizozifanya na atakazoendelea kuzifanya ni pamoja na;
Nawasilisha.
Mtoa habari hizi ameeleza kuwa mipango hii inafanywa kwa ustadi mkubwa sana kiasi kwamba sio rahisi watu kufahamu kinachoendeleo hivi sasa.
Ameendelea kusema, mbinu alizozifanya na atakazoendelea kuzifanya ni pamoja na;
- Kujifanya ni adui mkubwa wa Lowasa kwa sasa ili watu waamini hivyo
- Kumlejesha Asha Rose Migiro nyumbani ili aanze kuonekana kwa watu ambapo hivi karibuni atamteua kuwa mbunge na hatimaye waziri (Kumbuka JK bado ana nafasi 7 za wabunge, zilikuwa zinamsubiri mama huyu).
- Hata mabadiriko ya baraza la mawaziri lililoandikwa sana kwenye vyombo vya habari lilikuwa linamsubiri Asha.
- Anasema, '' UKWELI NI KWAMBA ASHA HAADALIWI KUWA RAIS BALI WAZIRI MKUU''
- Ananiambia, Siri ya JK na Lowasa ni kubwa Mno mpaka uijue unakuwa umeaminiwa sana na hawa watu.
- Lowasa atajulikana mwishoni kabisa kwenye maamuzi ya CC ambayo mtu pekee wa kuamua ni JK mwenyewe kwavile hana mtu mwingine wa kumpinga mle.
- Kuwaondoa Marais wastaafu kwenye CC ndiyo ulikuwa mtihani wake mgumu sana na sasa kafaulu na baada ya mchakato huo wazee hao watarudishwa tena CC.
Nawasilisha.