Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 632
Muelekeo wa chama? Kwa hiyo ccm wana mambo ya chama kwanza nchi baadaye? Kuna sisi ambao hatuna vyama lakini tunataka maisha bora, utawala wa sheria vitu ambavyo ccm imeshindwa kuvifanya kwa miaka yote iliyokaa madarakani.Thanks Mkuu kwa kutuletea hii post.
It will go a long way kuwanyamazisha wale doubting Thomases juu ya muelekeo wa chama.
Kimsingi itawafanya wale wapinzani-waandamanaji wakose mada ya kuongea hadharani-maana hawana sera wala mikakati ya kuwaendeleaza waTz, zaidi ya kukodolea
macho kiti cha Urais.
Leo mwenyekiti wa ccm kakiri hadharani chama kina mafisadi badala ya kuwachukulia hatua, wanabaki wanawachekea ooh siku 90 ooh tunarudi kule kwenye misingi ya ccm, blah blah blah! F this bs kwa kweli.