Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br />Kuna kila dalili kuwa JK ame-act kama 'mchonganishi' kwenye hii saga. Hii danadana ya 'chunguza, simamisha, rudisha, simamisha' sio tu inapoteza muda bali pia imejeruhi watu wengine: sasa hivi reputation ya Mh waziri mkuu Pinda imeharibika vibaya. Na kwa nini Luhanjo ameonekana kuwa nguvu 'kimamlaka' kuliko waziri mkuu na hata Bunge?
<br />
Hiyo ni mbinu mahsusi iliyobuniwana CCM ili kuwapoteza CHADEMA waendelee kufuatilia saga moja isiyokuwa na mwisho. Ili kuthibitisha hilo, ndiyo maana kamati ya kumchunguza Jairo imetengenezwa na wabunge wengi wa CHADEMA wale waongeaji( vitriol speakers) mfano Halima Mdee, Zitto, Mbowe, Lissu.