Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
kale kapicha cha UPUUZI WA MASUDI KAKO WAPI?
Ilitakiwa Utouh na Luhanjo pia waende likizo maana wanaweza kuvuruga uchunguzi wa kamatihakuna kitu kama hicho waka hakitakaa kitokee.Pinda nae si ajiuzulu tu hayo mafao yake siatapata kama anavyopata lowasa! Ama kweli auwae kwa upanga atauliwa kwa upanga.pinda alimwaibisha Magufuli sasa yamemkuta.
<br />Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
Hongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
<br />safi sana jk! hakuna raisi wa tanzania aliyewahi kuthubutu kama wewe
Naunga mkono hoja sasa nani atakuwa wa kwanza kwenda Magogoni na kidumu cha petroli kisha ajilipue hata dunia ijue? Ni wangapi wataunga hili?Tanzania bila CCM inawezekana.hatuwezi kuendelea kuvumilia huu upuuzi.natangaza nia sasa jamani tuanze kama Tunisia
...source TBC1 LIVE KUTOKA BUNGENI....via WAZIRI MKUU.You can't be serious! Kama ni kweli hii itakuwa ze commedy kama jamaa alivyodai mwanzoni.
< br /> magamba bana juzi ulitaka kulia na kusifu chadema leo unageuka eti wapnzn wataongea nini,? Kwani chadema tuna ajenda ya jairo? Masaburi yako kuna isue ya katiba na maisha magumu kila kukichaHongera JK kwa kufanya maamuzi mazito, magumu na ya kiume. Sasa wapinzani wako sijui watapata wapi cha kuongea? Umethubutu, Umeweza sasa hebu SONGA MBELE!
<br />Naunga mkono hoja sasa nani atakuwa wa kwanza kwenda Magogoni na kidumu cha petroli kisha ajilipue hata dunia ijue? Ni wangapi wataunga hili?Tanzania bila CCM inawezekana.