Sawa modNina wasi wasi...! Muda si mrefu JF litakuwa jukwaa la MIPASHO...!! Maana majibu mengine... Mmmh! Kaaazi kweli kweli!
hiyo sherehe ni ya familia mkuu ...povu la nini! Kwa kuwa mkuu ni Rais Mstaafu ndio maana walinzi wa usalama walikuwa wengi,hata wewe ukiomba ulinzi ukifanya jando utapewa mgambo! msiwe mnakasirika kila kitu acha watu wale maisha yao!Huu ni ufujaji wa hali ya juu.
Hatukatai mtoto wake kuchezwa lakini tunahoji gharama hizo alizo tumia ni za nani?Kama ni za sisi walalahoi basi huu ni ufujaji.
babu ametumia hela yako, yule ni mstaafu anatumia mfuko wake.achakupenda kulala mikaaHuu ni ufujaji wa hali ya juu.
Hatukatai mtoto wake kuchezwa lakini tunahoji gharama hizo alizo tumia ni za nani?Kama ni za sisi walalahoi basi huu ni ufujaji.
hiyo sherehe ni ya familia mkuu ...povu la nini! Kwa kuwa mkuu ni Rais Mstaafu ndio maana walinzi wa usalama walikuwa wengi,hata wewe ukiomba ulinzi ukifanya jando utapewa mgambo! msiwe mnakasirika kila kitu acha watu wale maisha yao!
2009 yawezekana simu zenye kamera hazikuwa nyingi!!!Picha ziko wapi?
hiyo sherehe ni ya familia mkuu ...povu la nini! Kwa kuwa mkuu ni Rais Mstaafu ndio maana walinzi wa usalama walikuwa wengi,hata wewe ukiomba ulinzi ukifanya jando utapewa mgambo! msiwe mnakasirika kila kitu acha watu wale maisha yao!
babu ametumia hela yako, yule ni mstaafu anatumia mfuko wake.achakupenda kulala mikaa
mfukua makaburiMichango ya WADAU ina raha yake
Michango ya WADAU ina raha yake