SILENT WHISPER
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 2,209
- 821
hivi huyu jamaa haoni aibu kutoa ahadi ambazo kama kweli atatekeleza nusu tu..! inchi hii itakuwa kama ulaya..!
acha kudanganya watu..! flyover za dar zimekushinda unaomba msaanda...! barabara zote ni pesa za walipa kodi wa ulaya..!
acha kudanganya watu..! flyover za dar zimekushinda unaomba msaanda...! barabara zote ni pesa za walipa kodi wa ulaya..!