Elections 2010 JK 'alivyofunika' TABORA

hivi huyu jamaa haoni aibu kutoa ahadi ambazo kama kweli atatekeleza nusu tu..! inchi hii itakuwa kama ulaya..!

acha kudanganya watu..! flyover za dar zimekushinda unaomba msaanda...! barabara zote ni pesa za walipa kodi wa ulaya..!
 
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza

>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.

>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.

>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!

N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.
Watajibeba mwaka huu
 
Kwa nnavyomfahamu JK atakuwa hana raha kabisa na the look of things, uzuri wake anawajua wapambe wake kuwa huwa hawamwambii ukweli!!!!!!!
 
Wakuu, msi-underestimate hii mbinu ya kuwabeba wananchi kwenye malori na mabus kutoka vijijini kwa sababu (si kwamba nawadharau wa vijijini) lakini ni priviledge ya aina yake kupewa jezi na kupakiwa kwenye malori ama mabus kwenda mjini kumuona Rais wa nchi ama mgombea wa CCM. Wapo watakaompigia kura kwa ajili hiyo! Ni sawa na ile ya mabango pia wapo watakaopiga kura kufuatana na sura waliyoiona kwenye mabango. Hizo ni mbinu za CCM baada ya kuelewa kwamba bila mbinu za kughilibu wataula wa chuya!
 
misukuma ilivyo mijinga inapiga makofiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaa iksubir..aijiuliziii alikuwa wapii miaka yoooooteeeeeeee
 
I don't see anything wrong with the idea of having at least one university for every region in Tanzania.
I'd like this one to be called "SHINYANGA AM UNIVERSITY" or SHINYANGA TECH. UNIV (STU) specializing in Geological studies, Biotech, Fishery and mining engineering due to its proximity to the Geita and Mwadui mining sites as well as Sangara fishing industry in the lake Nyanza basin. I do not wanna see any social, arts or liberal studies....only Science and Tech.
Go JK
 
I don't see anything wrong with the idea of having at least one university for every region in Tanzania.
I'd like this one to be called "SHINYANGA AM UNIVERSITY" or SHINYANGA TECH. UNIV (STU) specializing in Geological studies, Biotech, Fishery and mining engineering due to its proximity to the Geita and Mwadui mining sites as well as Sangara fishing industry in the lake Nyanza basin. I do not wanna see any social, arts or liberal studies....only Science and Tech.
Go JK

This is not India my Bro!!!!
 
mimi nilifikiri atawaahidi kuboresha elimu yao kwani kwenye ligi table ya kitaifa wako karibu ya mwisho kama sio wamwisho, sasa hawa watu ukiwawekea chuo kikuu ili iwaje wakiangalie? maana alama za kuwaruhusu kuingia chuo kikuu hawana.
 
mmmm nina wasiwasi na huyu jamaa inabidi apimwe mana ahadi zimezidi,wakati maisha bora bado
 
Huyu jamaa mzima kweli??????

Source: Habari leo

Kikwete aahidi chuo kikuu Shinyanga

BAADA ya kukamilika ujenzi wa vyuo vikuu vya Dodoma na Mwalimu Nyerere mkoani Mara, utafuata ujenzi wa chuo kikuu cha Shinyanga.

Hiyo ni ahadi ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, aliyoitoa juzi baada ya kuombwa na wakazi wa wilaya za Bukombe na Kahama, kwenye mikutano ya kampeni.

Akiwa Bukombe, mgombea ubunge, Emmanuel Luhahula, aliomba chuo kikuu mkoani humo kwa sababu hawana chuo kama hicho.

Naye mgombea ubunge wa Kahama James Lembeli, aliomba chuo kikuu hicho ili kusaidia vijana wa mkoa huu.

Mbunge wa zamani wa Msalala, Ezekiel Maige ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, aliomba kujengwa chuo cha ufundi ili kutoa fursa kwa vijana wa Kahama kupata ajira ikiwamo migodini.

Akizungumza na wananchi wa Kahama kwenye uwanja wa michezo mjini humo, Kikwete , alisema ujenzi wa chuo kikuu ni lazima, lakini kwanza amalize vya Dodoma na Butiama.

“Ngoja tulitafakari vizuri, lakini ni lazima tujenge. Kwa sasa tunakamilisha Dodoma na kisha Butiama kwa heshima ya Mwalimu Nyerere … baada ya hapo, tutaliangalia hili,” alisema.

Akizungumzia tatizo la maji, alisema Kahama kwa sasa haina matatizo hayo baada ya kupata maji ya Ziwa Victoria, isipokuwa vijiji 15 vilivyopo kilometa 15 kutoka mradi huo, vitapewa maji na tayari zimetengwa Sh bilioni 12.9 kufanikisha kazi hiyo.

Kuhusu barabara za mjini hapa, aliagiza zijengwe haraka kwa sababu fedha zimetolewa na kuwataka viongozi wa Serikali wanaogombana juu ya kujengwa kwa barabara hizo, kumaliza tofauti zao haraka.


Jumla Maoni (2)

Maoni ( huko huko habari leo)
1. anauhakika mpaka chuo cha dodoma kimalizwe kujengwa na kuanzwa kujengwa mpaka kmalizwa kwa chuo kingine cha kumbukumbu ya mwl nyerere atakuwa bado yupo madarakani na kama atakuwa ametoka anajuaje hao wanaofuata kama watakuwa na wazo kama lake au ilikuwa kuwapa moyo wana shy ili apate kura zao? wananchi tusidanganyike.

2. Kikwete hizo sound tu za kutaka kura,kama mwenzangu hapo juu anavyosema kuna vyuo mbili viishe then uanze shinyanga?angalau ungetudanganyia ukasema ile shaicom unaibadili kuwa chuo kikuu kama ulivyofanya chang'ombe......usituzuge bwana......

Mimi binafsi sidanganyiki
kuhusu barabara kwani hakuna mipango miji, mpaka wasubiri viongozi??? kama kweli wamalize tofauti zao?
 
Inaelekea kikwete anawapenda sana watu wake. Lakini kwa ahadi hizi aangalie asije akaombwa asiloweza naye akawa kama alivyofanywa yohana mbatizaji
 
misukuma ilivyo mijinga inapiga makofiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaa iksubir..aijiuliziii alikuwa wapii miaka yoooooteeeeeeee

Rafiki taratibu. Kwanini unatutukana? Jifunze kuchangia hoja kwa ustaarabu. Kila mahali wako watu wa ndiyooooo, lakini nasema hatudanganyiki mwaka huu.
 
mimi nilifikiri atawaahidi kuboresha elimu yao kwani kwenye ligi table ya kitaifa wako karibu ya mwisho kama sio wamwisho, sasa hawa watu ukiwawekea chuo kikuu ili iwaje wakiangalie? maana alama za kuwaruhusu kuingia chuo kikuu hawana.

Rafiki una data za mwaka gani wewe? Ilikuwa zamani. Hivi sasa wasukuma tunasoma aisee, acha kabisa.
 
misukuma ilivyo mijinga inapiga makofiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaa iksubir..aijiuliziii alikuwa wapii miaka yoooooteeeeeeee

Wewe ngedele watake radhi wasukuma.Ni wapi jemedali wenu kaanza kuzomewa kama si kwa wasuma Shinyanga? Kwingine kote mlikuwa mnamlea kamaaaa--nanihiiiii.Nilitaka niandike neno la aibu juu yako nimekumbuka wewe ni mwanaJF .Jifunze kuanguka jamvini si kuingia kama Riziwani alivyoingia iring ana kutolewa Benzi.Tafakariii njomba utabaainiii tu
 
Back
Top Bottom