Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza
>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.
>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.
>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!
N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.
>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.
>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.
>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!
N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.