Elections 2010 JK 'alivyofunika' TABORA

Donyongijape

JF-Expert Member
May 28, 2010
1,497
811
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza

>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.

>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.

>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!

N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.
 
Sisinjemu haina mpya mkuu ni yale yale ya miaka arobaini na ngapi vile?by the way Slaa songa mbele nyuma waachie Sisisnjemu wenyewe...JF mwenye kuweza kuaproad jamani twazitaka hizo pics hahahahahahahahahahahahahahahahaha....

ANGALIZO..
SISINJEMU ni neno la kisuma na kiswahili mixed..
SISI tunajua maana yake
NJEMU ni bange kwa kisukuma..
 
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza

>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.

>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.

>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,na baada ya wasanii kama Diamond,Marlow na ZEE KOMEDI kutoa shoo zao,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo hivyo wao wamewaona ze comedy powa2...na sera yenyewwe ya JK ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!

N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.
 
Mwaka 2000 uliahidi maji. Mwaka 2010 unaahidi maji. Wana wa nchi wakuangalie tu
 
Dalili zinavyoonyesha, mwaka huu hata za kuiba hazitaibika. Maana huo mwamko uliopo kwa watu wa kijijni ambao CCM wamekuwa wakiona kuwa ni mtaji kwao usiseme! Karibu kila siku nawapigia simu home (bush) kuwajulia hali, unaambiwa sasa mabalozi wa nyumba kumi wamelezimishwa kupita kila nyumba kuandikisha kadi za kupigia kura, na kuwatishia raia kwamba wasipoipigia CCM watagundua. Lakini pamoja na hayo nasikia raia wanasema watachagua mbunge wa CCM lakini Rais wanampa Slaa. JK ana kazi kubwa mwaka huu.
 
Yaani baada ya ZEE KOMEDI,MARLOW NA DIAMOND KUTUMBUIZA..WATU+WATOTO WAKASEPA,WAMEONA FIESTA LA BUREE..KWAO NDIO ILIKUWA MUHIMU ZAIDI..COZ WALIPITA MITAANI NA MAGARI YAO WAKITANGAZA UWEPO WAO ZAIDI YA JK.:becky:
 
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza

>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.

>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.

>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!

N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.


Bwahahahaha...hongera kwa uongo na hyperboles.
 
Mwaka huu JK kazi anayo. For sure CCM wasipofanya umaafia wa kuiba kura na tume ya uchaguzi wakatenda haki lazima adondoke tu.
 
Hizi picha inaonekana hazijafika kwa Invisible. Mimi ni mdau wa Tabora jamani, natamani nione ndugu zangu wanyamwezi walivyompokea mtani wao mkwere.

Ukiona mpaka sasa kwa michuzi hazipo ujue kuna jambo!!!!
 
Gudi


Nadhani ndugu yangu Sikonge ataungana nami kuwa wana Tabora siyo mabwege hata siku moja. Hatutoi uchifu wetu hivyo hovyo siye.
 
Wana JF leo nimebahatika kuwa katika moja ya mikutano 'mikubwa' ya JK katika kampeni zake mikoani katika uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora. Lengo kubwa ilikuwa ni kujishuhudia mwenyewe yale niliyokuwa nikisoma humu na magazetini! Yafuatayo yalijitokeza

>Yalikuwepo malori,coasters na mabasi makubwa maarufu km yaendayo mikoani yaliyokuwa yakichukua watu kutoka vijiji vya mbali na kuwaleta hapo uwanjani.

>Mkutano ulijaa watoto na wanafunzi wa vyuo vya Uhadhiri,Ualimu,Veta etc ambao walipewa T-shets,kofia na baadaye jioni jioni nikashuhudia 'wakitolewa' na wao kujipongeza kwa bia.

>KUBWA ZAIDI, baada ya JK kuingia mnapo saa 11.17 na kukaribishwa jukwaani,HUWEZI Amini umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka uwanjani kama vile aliyekuwa akiongea,potelea mbali ni kuwa mgombea bali ni raisi. Sababu kubwa baada ya kudadis ni watu kusema anarudirudia yale yale amabayo siku ya wanawake duniani alipokuja aliongea hayo hayo..na sera yenyewwe ilikuwa kuleta maji kutoka ziwa victoria kutokea shinyanga,barabara etc ambayo wanasema ni nyimbo za kawaida. KIFUPI HII NDIYO TOPIC KUBWA HAPA TBR KUHUSU KUKIMBIWA KWA JK.WATU WAMEMCHOKA MBAYA!

N:B,nina picha ya matukio yote yaliyojitokeza kama vile hayo malori,mabasi makubwa na umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukitoka nje lakini bahati mbaya nmeshindwa ku-upload hapa..Kam kuna mwana JF anaweza kuzi-upload aweke e-mail yake hapa nami nitamtumia na kuzimwaga hapa.


IMG_2108.jpg
Mbona picha pale kwa michuzi zinaonyesa kuwa ndugu zangu walijaa sana uwanja wa Ali Hassan mwinyi, zamani tukiuta uwanja wa vita?
attachment.php
 
Navyoijua Tabora kwa kuipenda CCM, sidhani kama wameelimika kiasi hicho. Vipi upande wa ubunge, Mh Rage anagombea na nani hapo jimbon?
 
Mbona picha pale kwa michuzi zinaonyesa kuwa ndugu zangu walijaa sana uwanja wa Ali Hassan mwinyi, zamani tukiuta uwanja wa vita?

Uwanja wa Vita bado upo pale pale eneo la Bachu. Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulijengwa mitaa ya Sikonge Road, ukiwa unaelekea Ng'ambu uwanja uko upande wa kulia.
 
Uwanja wa Vita bado upo pale pale eneo la Bachu. Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulijengwa mitaa ya Sikonge Road, ukiwa unaelekea Ng'ambu uwanja uko upande wa kulia.

Ni kweli, nimekosea kwa bahati mbaya, nilitaka kusema uwanja wa sabasaba. Siku ya kuzaliwa CCM mwaka 1977 nilishiriki maonyesho ya TYL uwanjani pale mbele ya mkuu wa mkoa wakati huo balozi Rutakyamirwa aliyekuwa amechukua nafasi ya Nsa Kaisi.
 
Ni kweli, nimekosea kwa bahati mbaya, nilitaka kusema uwanja wa sabasaba. Siku ya kuzaliwa CCM mwaka 1977 nilishiriki maonyesho ya TYL uwanjani pale mbele ya mkuu wa mkoa wakati huo balozi Rutakyamirwa aliyekuwa amechukua nafasi ya Nsa Kaisi.

Mkuu asante sana kwa kuniongezea Jiografia ya Mji wa Tabora. Sikuwa najua kama eneo hilo zama hizo kulikuwa na Uwanja wa Sabasaba.
 
Back
Top Bottom