Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Taratibu....CCM ndiyo imetufanya tuwe wajinga lakini si wote na ndiyo maana juzi tumemzomea na kuna sehemu hawaitaki CCM tangu upinzani uanze hawawachangui labda kwa kuibiwa mfano bariadi kwa kina Cheyo..misukuma ilivyo mijinga inapiga makofiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaa iksubir..aijiuliziii alikuwa wapii miaka yoooooteeeeeeee