Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Kuna kundi dogo la akina makamba ambalo linafaidika na katiba iliyopo ndio kikwazo kwa uamuzi ambao kikwete ameshaukubali wa kuunda katiba mpya; anataka akumbukwe walau kwa hilo maana peoples power imeshinda uwezo kwa hoja; sasa pinda katumwa ili aanze kulainisha mambo; ili wenye vichwa ngumu wakubaliane
Kuna kundi dogo la akina makamba ambalo linafaidika na katiba iliyopo ndio kikwazo kwa uamuzi ambao kikwete ameshaukubali wa kuunda katiba mpya; anataka akumbukwe walau kwa hilo maana peoples power imeshinda uwezo kwa hoja; sasa pinda katumwa ili aanze kulainisha mambo; ili wenye vichwa ngumu wakubaliane
kama kweli then big up to him, at least itamletea heshima na kutupoza vidonda vya ufisadi wake.
Shujaa for what?tutaweka sanamu yake mnazi mmoja kama SHUJAA WA TANGANYIKA!
what we want is him personaly to speak out, and not others who ar telling us on his behalf. I m not sure of what has ben said about him, because in coart of law, he cant be sued of what he never said. I think is time for him to speak out and tell us, if is with us or not toward this movement of new constitution of our beloved country which we inherited from our grand parents. Viva tanganyika, viva el nuevo constitution.