Jirani yangu anafanya kazi gani?

Nani alikuambia kuwa majambazi sio wapole?
Kwahiyo unakuwa macho usiku wote ukimlia timing mpaka ukapata jibu kuwa hachomoki usiku.
Kuna majambazi wanapiga mshindo wa nguvu . Akipiga mmoja mmoja anakaa muda mwingi anakula kazi ya mikono yake.
Pia kuna kazi zina pesa lakini si za ujambazi.
Ni raia mwema huyo 😂😂😂🇹🇿🇹🇿
 
Jirani yako ka invest kwenye Cryptocurrency Investments..! Kule watu wenye ka mtaji wanapiga $$ za kutosha.Huko kuna fursa nyingi sana
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Wee jamaa ni mchawi
 
Kuishi maisha mazuri kunahitaji sacrifice .

Unaweza kuta anafanya mishe za mitandaoni ambazo kupata au kupoteza ni njee njee kitu ambacho hata leo akikushirikisha utagoma either kwa hofu ya kupoteza ulichonacho au unaweza kumuita tapeli.

Kumbuka hakuna pesa rahisi
 
Dunia imebadilika sana siku hizi, ofisi sio kama zamani kwamba hadi uvae nguo, uendeshw gari au kupanda daladala hadi kwenye jengo kubwa, zuri.

No. Siku hizi unaweza ukawa na ofisi home kwako, kikubwa unachohitaji ni laptop na internet tu! So, inawezekana jirani yako anafanya kazi remotely, kazi ambayo akiwa kwa PC anamaliza kila kitu.

Hizo unalipwa kwa $$, so you can imagine kama unaspend kwa Tshs kibongo ni rahisi kuonekana you are well off.
Au labda anafanya issues za forex trading au cryptocurrency, ambazo na zenyewe what you need ni laptop na internet ya uhakika tu!
Umejibu vema mno.
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Mtafute mkuu Mshana Jr anaweza kukupa anuani ya chuo cha uchawi. Una vigezo vyote vya kupata bumu la kusomea kozi hiyo unayoipenda sana
 
Mmmh ivi kumbe kutoka usiku sana napo shidah itabidi nilekebishe hii ratiba niraonekana jambazi kwa majiran
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Hawa ndo Watanzania sasa, kwa namna ulivyo, wewe ni Mswahili hasa, sahau kufanikiwa, endelea tu kuishi kwa sababu umeamka unapumua....!
 
Back
Top Bottom