haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 837
- 1,550
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.
Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.
2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.
3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).
4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe
5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.
6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.
Je, anaishije?
Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.
2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.
3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).
4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe
5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.
6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.
Je, anaishije?