Mwl, AVATAR account na CCCAM account zinatofautiana kimatumizi au zikko sawa?Jumla ni 295'000 tu
Utapata QSAT Q23G + AVATAR ACCOUNT YA MWAKA MMOJA + CCCAM ACCOUNT ya miezi MITATU
Karibu
Mwl, AVATAR account na CCCAM account zinatofautiana kimatumizi au zikko sawa?
KARIBU
- Kimatumizi ziko sawa.
- Account zote mbili ni maalum kufungua hizi channel
Ok, asante. Q13g na Q23g zinatofautiana nn maana naona specs zake ni zilezile?
N.b: Ucnichoke ni ktk kutaka kuelewa mkuu.
Sasa nimeelewa vizuri sana asante Mkuu.Tofauti
- Q13 na Q23 ni matoleo mawili ya kampuni moja
- Zote zinafanya kazi kwa kutumia account zinazofanana yaani avatarHD na Cccam
- Q13 ilitangulia kutoka na hii Q23 ni toleo la hivi karibuni zaidi
Karibu
- Q13 huja na menu ya DQCAM wakati hii Q23 haina dqcam
- Q23 ina latest update upandewa hardware na software hivyo kuwa na stabilitynzaidi ukilinganisha na Q13
- Hakuna production mpya ya Q13 wakati Q23 zinaendelea kutoka. Zaidi ya software updates
Jumla ni 295'000 tu
Utapata QSAT Q23G + AVATAR ACCOUNT YA MWAKA MMOJA + CCCAM ACCOUNT ya miezi MITATU
Karibu
So unataka niambia all what i need ni laki tatu tuu?! Niweke the HD satelite?! Na je ntaweza kuunganishiwa TV mbili au tatu tofauti?? Na kama ndio ntahitaji kuongeza nn
Kama hauna dish basi ongeza hizi ghalama
- Ndio, ni kiasi cha 295'000 tu
- Unapata QSAT Q23G HD receiver + 1 Year avatarcamHD account + 3_Month CCCAM account
Karibu sana
- Dish dogo + LNB tsh 50'000
- Ghalama ya Fundi tsh 40'000
- Kwa kutumia RF out, waweza unga tv ya pili
- Ila hii ya pili haitokuwa na access ya receiver moja kwa moja, itaonyesha picha/channel ambayo TV ya kwanza inaonyesha
- KARIBU
Mkuu Mwl.RCT
Honestly speaking, nimevutiwa sana na haya maelezo but unfortunately, sijaelewa vizuri hii product. I am afraid maelezo yako yana-cater wale wenye ABC ya haya mambo lakini kwa mtu ambae ndo kwanza amekuta hii mada na yupo outdated, basi nadhani atakuwa hajafahamu vizuri this all things!
Nimeipenda hii bidhaa... lakini je, unaweza kuongea machache as if mzigo ndo unaupeleka mara ya kwanza kijijini ambako watu hawana uelewa mkubwa na masuala ya teknolojia lakini wapo more interested. Nimeshatumia FTA kwa muda mrefu sasa lakini hapa naona ni kama FTA ninayoifahamu mimi ni tofauti kabisa na hii makitu.
Your time please, I am sure wapo watu wengi sana humu jamvini ambao hawajaielewa sawa hii kitu lakini kwavile michango ya wote wanaonekana ni waelewa, basi inahitaji ujasiri kidogo mtu kukubali kwamba ni wewe peke yako ndie kilaza!!
Thank you in advance.