Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

kwa upande wa bei tu nakubaliana na wewe upo chini sana,ila kiukweli hizi account za AVATAR,CCCAM na nyinginezo zinasumbua kwa sasa,kwa sababu hawa DSTV wana-upgrade saver zao baada ya kuona kuna mchezo mchafu unafanywa na wachina,sema tu team ya QSAT bado ipo chumbani kuja na njia sahihi ya kupambana na hili la channels ku-freeze
umejuaje kama dstv waki upgrade server hivi vidude ndio vinaganda? umesoma iks na general card sharing the way it works?
tatizo wachina wana tamaa ya fedha zaidi kuliko huduma. wanauza account nyingi kuliko uwezo wa server zao. hivyo server zao zimekuwa overloaded. unless upate account yenye c line ambayo haijakuwa shared kupindukia mbona uta enjoy. lakini huipati server hiyo labda isiwe ya kichina.
Jaribu kusoma kuhusu c-line na d-line in relation to cardsharing...... utaelewa nini nasema
 
Kaka hii makitu nikiwa nayo naweza kukamata internet radio zote duniani?
Am interested in radio pia apart from TV stations
 
Kaka hii makitu nikiwa nayo naweza kukamata internet radio zote duniani?
Am interested in radio pia apart from TV stations
  • Zipo radio station nyingi
  • Ila siyo zote DUNIANI mfano waweza sikiliza BBC world[eng], ila hautoweza siliza wapo radio [kisw]
  • KARIBU hekimatele
 
Last edited by a moderator:
Hiyo inatumia mfumo gani?
Tofauti yake ni nini hasa?
Waweza nipa snapshot ya radio availables?

  • Mkuu huwezi kulinganisha software (Tune In) ambayo unaweka kwenye simu/ PC na Decorder/Receiver [device] - Qsat q23 ambayo radio channel hutegemea ni beam ya satellite ipi ambayo umeset kwenye Dish lako.
  • KARIBU
 
CCCAM ACCOUNT Compatible with:-Qsat models; Speed s1; Azsky models; Zorrobox models; Skybox models; Openbox; Dreambox; Tlink900hd
 
CCCAM ACCOUNT Compatible with:-Qsat models; Speed s1; Azsky models; Zorrobox models; Skybox models; Openbox; Dreambox; Tlink900hd

Sasa nimeanza kufurahia utamu baada ya huduma nzuri ya Mwl RCT,si kuniuzia account ya CCcam pia hutoa huduma na msaada,
 
Sasa nimeanza kufurahia utamu baada ya huduma nzuri ya Mwl RCT,si kuniuzia account ya CCcam pia hutoa huduma na msaada,
  • Karibu wajulishe na wenzetu wengine
  • KARIBU
 
Kwa hitaji la Qsat q23g + Tv1 CCCAm Account


Nipigie 0784 491 856, 0717 54 57 62, au 0768 92 48 41


KARIBU
 
Update:-
  • The user "besthd" from number 1001 -2100 >> change the port to 01010
  • Besthd from 0001 to 1000 use port 01001
  • Besthd from 2100 to 3100 use port 02705
  • Tv"one" & tv"six" change port from 01005 >> to 01012
 
mbona kwangu imeanza 6000 nitumie port ipi.

√ Habari yako ndugu, Cccam yako ni ipi:- Je ni BESTHD, HDDVD ,TVONE, au TVSIX ??
√ Je umewasiliana na aliyekupatia hiyo account
√ BTW Nitumie username (Tv1 cccam) yako.

KARIBU
 
Update
  • Sasa waweza kupta TV1 CCCAM ya miezi 6 kwa tsh 125'000
  • Na TV1 CCCAM ya miezi mitatu itabakia kuwa tsh 75'000
  • Karibu
Contact Mwl.RCT
  • 0784 496 856 / 0768 92 48 41 / 0717 54 57 62
 
Angalizo
  • Hakikisha unanunua TV1 cccam toka kwa mtu anaye aminika
  • Waweza pewa CCCAM account kwa bei ndogo, hata kwa tsh 55'000 toka kwa wengine, ila huwa wanauza kwa zaidi ya mara moja account moja.
  • Hii itapelekea CCCam account yako kutokuwa stable na yaweza fungiwa kutokana na kuwa shared. Kuwa makini
3 Month CCCAM account inauzwa tsh 75'000 tu
6 Month CCCAM account
inauzwa tsh 125'000 tu

KARIBU

ww umepandisha ili tukuamini? Mwanzo ulitangaza unauza 70elf jamaa wameshusha ww umeongeza, kwa gia ya uaminifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom